Christianity Taught Africans Dignity, Bishop Says

Alpha

JF-Expert Member
Aug 30, 2007
662
251
So apparently we had no dignity before the white man who was enslaving and brutalizing us gave us his wondeful religion.

Tanzania: Christianity Taught Africans Dignity, Bishop Says
9 April 2009

Dar es Salaam — Christianity brought to Africa not only belief in God through Christ in the spirit but also gave the African a sense of belonging and dignity in the world community, a Catholic bishop has said.


"It gave him the self-confidence to believe that we are all equal as sons of God," Bishop Method Kilaini of Dar es Salaam says. "It taught the despised, maltreated and enslaved African that in the same God all is possible, without distinction of colour or race. It gave the African a clear picture of everlasting peace and an equal place in heaven."

Bishop Kilaini's view, in a column in the April-June issue of 'BBC Focus on Africa' magazine, is likely to raise the eyebrows of many people who vehemently reject the notion that Africans had no civilization or religion before the arrival of Christianity.

Bishop Kilaini praises Christianity's contribution to education, social services, leadership formation and the struggle against colonialism in Africa.

"Christianity gave Africans a high standard of education that taught them dignity and gave them the courage to fight against colonial dominance. It also gave them civilization in the spirit of hard work and respect."

The bishop, however, notes that the European missionaries came from the same countries as the colonialists and to some extent justified colonialism, but "they fought very hard for the dignity and respect of the colonized."

But South African academic, Laurence Berman, writing in the same magazine, dismisses Christianity as "one of the most potent agents of imperialism" in Africa.

"By an insidious process, indigenous religious values were supplanted by Christianity. Proselytizing by force was not unknown. Guns and Bibles were the apostles of Christian imperialism."

allAfrica.com: Tanzania: Christianity Taught Africans Dignity, Bishop Says (Page 1 of 1)
 
What dignity?

The dignity that came with subjugation? colonialization? slavery? piller and plunder? maiming and arson? cajoling capitulation? forced labor? trickery?

The height of condescending christendom.
 
Waafrika wanauchukulia ukristo tofauti na wazungu wanavyofanya,na ndio maana waafrika hao hao wanaamini kuwa wao ni kizazi kilicholaaniwa kwenye tukio lile la Nuhu alipozeeka na baada ya kulewa alijisahau na kubaki uchi,na wazungu hao hao wamewaaminisha waafrika kuwa yule mtoto aliyemwona baba yake uchi na akacheka ndio kizazi cha waafrika na yule mtoto aliyekwenda kinyume nyume na kumfunika baba yake ndiyo kizazi cha wazungu(weupe)
Nasema waafrika wanauchulia ukristo tofauti kwani sidhani kama waafrika wangeweza kuwavamia wazungu na kuwatawala kwa kutumia ukristo huo huo....Ama kuutumia ukristo kwenda vitani nk....No wonder hata ma mishenari walipokuja walipreach kuhusu neno la Yesu kuwa ukilambwa kofi shavu moja geuza na jingine,nadhani mababu zetu walilambwa makofi na wakageuza shavu la pili kama biblia inavyosema.
Sasa kuhusu hilo la dignity...Again ni yale yale tu ya mwafrika kudharauliwa in all aspects,mambo kama haya yamesababisha low self esteem miongoni mwa waafrika na low self esteem will get you no where zaidi ya ku enslave your mind.
 
Mind set tu mbovu!

Je kabla ya kuja Wazungu Africans hatukuwa na dignity??

Hata Miungu yetu tumeiacha na kuikumbatia walioleta Wazungu na waarabu!

Angalia India, Japan n.k hawakuacha wholesale Imani zao--ni Afrika tu tumeiga kila kitu!
 
Mind set tu mbovu!

ni Afrika tu tumeiga kila kitu!

kweli kuwa hata hao wenye dini bado hawapo! wachache sana wanaoufuata ukristo kama ulivyo. watu wmeacha dini za mababu, na pia wako shallow kwenye dini hii mpya! wapo wapo tu, wanafuata upepo! leo hii ukianzisha kanisa la kuoana jinsia moja, utawapata maelfu tu ya watu!
 
Mind set tu mbovu!

Je kabla ya kuja Wazungu Africans hatukuwa na dignity??

Hata Miungu yetu tumeiacha na kuikumbatia walioleta Wazungu na waarabu!

Angalia India, Japan n.k hawakuacha wholesale Imani zao--ni Afrika tu tumeiga kila kitu!

Ndio hapo na mimi nashangazwa,kwasababu kama Christianity taught Africans dignity,then inawezekana vipi ku condemn colonialism ama Slavery?
Maana watu ambao hawakuwa na dignity wali deserve nini zaidi ya kutawaliwa na kufanywa watumwa?
 
Hiyo ni CCM nyingine, ukiwa ndani ya mdundiko inabidi uucheze mdundiko. Heri sisi tusioamini! kwi kwi kwi!!
 
The bishop, however, notes that the European missionaries came from the same countries as the colonialists and to some extent justified colonialism, but "they fought very hard for the dignity and respect of the colonized."

Huyu Askofu ni Mpumbavu na mawazo yake mgando.
 
Those who fought hard for the dignity of the colonized were very very few. Maybe the Catholics in Tanzania took that mode because the colonial master was not Italian. Look at Mozambique and the rest of the Portuguese colonies. The catholic church there was hand in hand with the colonizers.
 
Tatizo la waafrika ni kutaka kukubali kila kitu kinacholetwa na wazungu ndio maana hata vitu vya hovyo tunavikubali, sijui kama watu ambao hawana dini mpaka leo hawana dignity, utamaduni wetu ulikuwa bora zaidi kuliko huu tulionao na unaokuja.

Inawezekana kadinari amesoma historia ya Roma wala hajui historia ya Afrika jinsi walivyokuwa wanaishi maisha ya starehe na raha kabla ya kuja dini zao feki na kuona kila cha mwafrika ni hovyo.

Hizo dini wanazosema wenye nazo hawazifuati siku hizi, hakuna kwenda kanisani wala misikitini lakini sisi tuliofundishwa ndio tunakazania kama vile tumelogwa.

Mimi siwaelewi kabisa, hivi mungu wenu ni mbaguzi kiasi hicho cha kuwaacha wapendwa wake waafrika wafanywe watumwa na watu wengine ambao kawaumba yeye, huyo mungu ametulia na kuangalia tu watu wanakufa na kwa kukosa matibabu wakati mafisadi wanaiba pesa ya serikali kwanini asipitishe radi na kuua mafisadi wote na kuokoa masikini wanaohitaji hizo pesa.

Wakuu kumbukeni kama mungu yupo basi anaupendeleo kwani kuna watu ameshawapangia maisha mazuri na wengine amewapangia maisha mabaya, wengine wamezaliwa kuwa wezi wakati wengine wamezaliwa kuwa na mapesa ya kusaza.

Ninachoamini ni kuwa mtu akiamua kufanya kitu na akawa na confidence basi success is evident na hakuna kizuizi cha kumzuia kufanikiwa. kumbukeni kuwa always mafanikio ya kitu chochote upatikana au kukosekana kunafanyika ndani ya akiri ya mtu mwenyewe.

believe in your self and everything is possible
 
Ukijua mzizi wa neno "mzungu" utaelewa kwa nini waafrika wa wakati ule walikubali kutawaliwa na wazungu.

Lakini kwa nini waafrika wa leo kama hawa maaskofu na wasomi wengi wanakubali kuishi katika giza hili?
 
[ame=http://www.youtube.com/watch?v=pkRYaMiP4K8]YouTube - George Carlin: The Ten Commandments[/ame]
 
Back
Top Bottom