kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
kuna wakati hawa jamaaa waliitikisa nchi na ile issue ya waraka.
hivi ni nani na nani wapo nyuma ya hii jumuiya?
Ushawishi wao ktk maswala nyeti ya kitaifa ni wa kiasi gani?kwa maslai ya nani?
kwanini wanaibuka kwa msimu fulani tuu na kupotea? Nini majukumu yao ya kila siku?
Wadau maswali ni mengi ila kuna haja ya kuwafaham vizuri hawa jamaa.au ndio system within a system.
inasemekana mambo yao huwa ni chini kwa chini kama hawapo (strategic planners)
na huwa hawakurupuki.
Haya wadau tupeane elimu.
hivi ni nani na nani wapo nyuma ya hii jumuiya?
Ushawishi wao ktk maswala nyeti ya kitaifa ni wa kiasi gani?kwa maslai ya nani?
kwanini wanaibuka kwa msimu fulani tuu na kupotea? Nini majukumu yao ya kila siku?
Wadau maswali ni mengi ila kuna haja ya kuwafaham vizuri hawa jamaa.au ndio system within a system.
inasemekana mambo yao huwa ni chini kwa chini kama hawapo (strategic planners)
na huwa hawakurupuki.
Haya wadau tupeane elimu.