yo' bud needs to appreciate linguistic buffs (kama nime tukana nisameheni blu rei uuu wapi)
huyu blurei hakawi kuanza kunililia nikupe banNdio ni kaka YANGU!
Nguli Nguli, Bluray ni bro wako????????????
Mpwa una undugu na Bluray? Naona hicho kimombo chako kama cha kidikshenari vile.
mmm, haya ya kwenu si hatuyawezi. anyway hongereni sana.
hihihihi...angekuwa ndugu yangu kila kona home tunaweka dikshenari akitoa bomba tu unajipinda kusaka..siku hizi mtaani wanani koma nikiona post yake tu kijiweni wananitambua.
jamani jamani namzimikia kwa mavokabulary mie loh!!! naanza kumkonsider nguli siriazily ili niwe karibu na bluu rei angalau as my in-law tu basi...au Xpin unashaurije?Ulikuwa hujui? Ni kaka yake: baba mmoja mama mbalimbali. Bluray kakulia Northingham wakati mpwa nguli kakulia mwananyamala kwa kopa!
I do bro more than cajole
jamani jamani namzimikia kwa mavokabulary mie loh!!! naanza kumkonsider nguli siriazily ili niwe karibu na bluu rei angalau as my in-law tu basi...au Xpin unashaurije?
jamani jamani namzimikia kwa mavokabulary mie loh!!! naanza kumkonsider nguli siriazily ili niwe karibu na bluu rei angalau as my in-law tu basi...au Xpin unashaurije?
naona mkakati wako ni kuwaua wapwa woote!jamani jamani namzimikia kwa mavokabulary mie loh!!! naanza kumkonsider nguli siriazily ili niwe karibu na bluu rei angalau as my in-law tu basi...au Xpin unashaurije?
hivi kwa nini watoto wa siku hizi mnapenda sana wazee? hata hapa slpway naona visicha vidogo vinapita na wazungu hata sijui 6x6 kama vinapatiwa haki.
umeona eeeeeeeeeeeeeh! vingereza mpaka utafute msaada wa mkalimani vileeMpwa una undugu na Bluray? Naona hicho kimombo chako kama cha kidikshenari vile.
Mbona hako ka kid kama ka-arabu flani vile..