time will tell
Member
- Aug 3, 2008
- 22
- 3
Yanini mkatane vidole bure? Matawi yenyewe hata kwenye katiba ya chama hayatambuliki? Kimsingi hayo siyo matawi ila ni magenge ya washabiki. Huyo Dr. L***** anaweza na yeye kuanzisha genge lake, siyo lazima afuate genge la kina Chris.
Moto tumeshauwasha nivigumu kuuzima , bure mwajisumbua magamba mtakomaaaaaaa!!!!!!