Mtanzania Mkenya
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 238
- 386
- Thread starter
- #21
Dah hicho kiingilio sio aise, unaweza ukajiandaa kwenda kwenye show lakini ukahairisha wakati wa kuhesabu
Hahaha. Mshahara wa mtu huo. Na maajabu ya Mombasa watu watajaa.