Mtanzania Mkenya
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 238
- 386
Baada ya kuwalipa Pesa ya Madafu Diamond Platnumz na Ali Kiba kwa ajili ya kampeni, yule Governor nguli wa County 001, County ya Mombasa Ali Hassan Joho anawaleta Chris Brown na Wizkid mjini humo kwa ajili ya kutumbuiza.
Lengo la tamasha hilo ni kuufurahia mji wa Mombasa na kuufanya mji wa starehe na anasa/kitovu cha watalii East Africa na pia kuvutia Investors mbali mbali.
Bei za Entrance:
Kiingilio cha kawaida: Kshs.10,000 = Tshs.210,000
V.I.P: Kshs.20,000 =Tshs. 420,000
V.V.I.P: Kshs. 50,000 = Tshs. 1,050,000
Lengo la tamasha hilo ni kuufurahia mji wa Mombasa na kuufanya mji wa starehe na anasa/kitovu cha watalii East Africa na pia kuvutia Investors mbali mbali.
Bei za Entrance:
Kiingilio cha kawaida: Kshs.10,000 = Tshs.210,000
V.I.P: Kshs.20,000 =Tshs. 420,000
V.V.I.P: Kshs. 50,000 = Tshs. 1,050,000