Phillemon... kwanini unafikiri ni "chopa" hiyo? Nilikuwa na mawazo hayo lakini sina pa kuanzia.. kwanini isiwe ni nyingine..
Phillemon.. bado jeshi letu sidhani kama liko fully to a civilian control. Hivi majuzi Waziri wa Majeshi wa US Gates amewafukuza kazi majenerali kwa uzembe... hivi leo Hussein Mwinyi ana ubavu wa kumwajibisha yeyote?[/QUOTE]
Akithubutu atazabwa vibao hadi ashike adabu!!!! Bongo wajeshi wanajiona miungu watu......when in reality they are humans just like the rest of us.
Phillemon.. bado jeshi letu sidhani kama liko fully to a civilian control. Hivi majuzi Waziri wa Majeshi wa US Gates amewafukuza kazi majenerali kwa uzembe... hivi leo Hussein Mwinyi ana ubavu wa kumwajibisha yeyote?
Phillemon.. bado jeshi letu sidhani kama liko fully to a civilian control. Hivi majuzi Waziri wa Majeshi wa US Gates amewafukuza kazi majenerali kwa uzembe... hivi leo Hussein Mwinyi ana ubavu wa kumwajibisha yeyote?
Phillemon.. bado jeshi letu sidhani kama liko fully to a civilian control. Hivi majuzi Waziri wa Majeshi wa US Gates amewafukuza kazi majenerali kwa uzembe... hivi leo Hussein Mwinyi ana ubavu wa kumwajibisha yeyote?
Phillemon.. bado jeshi letu sidhani kama liko fully to a civilian control. Hivi majuzi Waziri wa Majeshi wa US Gates amewafukuza kazi majenerali kwa uzembe... hivi leo Hussein Mwinyi ana ubavu wa kumwajibisha yeyote?
Mwanakijiji!, nadhani kumbukumbu zangu za vyombo vya habari vya marekani vinaonyesha kwamba Majenerali wale wa US Airforce (one Maj. Gen. + Civilian US Airforce Secretary) hawakufukuzwa, bali walijiuzulu wenyewe kwa kuwajibika kufuatia kashfa hiyo ya uzembe iliyopelekea mabomu ya nyuklia kusafirishwa kwa ndege B-52 na kupelekwa Taiwan kwa makosa na bila marubani kuwa na taarifa.
Kuna tofauti ya kufukuzwa na kuwajibika (I am right?)
hii chopa imeangushwa na watu wa ccm au ?? kama ndio basi mie najiunga chadema sasa hivi !