Huwa wanapima uzito wa mzigo unao toa kama ni kimba basi likidondoka ngiiiiiiiiii tayari maneno nje
Na hapo wanamsema mkeo anaambiwa ajitahidi kupika vizuri mumewe asipate shida au unaambiwa uongeze gharama za kufanya usafi
Huwa wanapima uzito wa mzigo unao toa kama ni kimba basi likidondoka ngiiiiiiiiii tayari maneno nje
Uswazi unajua hakuna choo na bafu
Choo ndicho hicho hicho bafu so mtu anaingia kule na mambo mawili
Kama una tumbo hapo limechafuka ujue utasababisha foleni kwa watu nje kinoma
afu hapo kama ni kota eh? ila sio siri huku uswazi na hizi mvua hata hutamani kwenda chooni
Mama katoka kushusha vitu.
Choo kama hiki huwezi kukitapisha
Ni rahisi ukiopoa mtoto wa uswazi unaishi kiuswazi swazi na ukiwa na wale wa Obey au Njiro basi unageuka kigeugeu kama popo na yoyo nyingi sana.
bonge la choo hilo mchana hakitumiki ila usiku na asubuhi sana wakati wa kwenda job
bonge la choo hilo mchana hakitumiki ila usiku na asubuhi sana wakati wa kwenda job