the mkerewe
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 232
- 14
Nawasalim wana JF
Naomba tuweke kando ushabiki wa vyama tusaidiane kwenye hili la CUF:
Mwenyekiti LIPUMBA kwa sasa achana na mbio za uraisi andaa sura mpya kwa uhai wa chama.
LIPUMBA msomi mzuri asiye na matumizi kwa sasa (Umma haufaidi elimu yake) tunaomba ugombee ubunge Tabora au hapa DSM (4 sure Temeke utapita) ili tukufaidi ukiwa bungeni.(Primary school students hawaijui CUF)
Mwenyekiti!Kitendo cha CUF kutoonesha makali dhidi ya CCM kutakiadhiri sana chama wakati CDM wakinufaika na hali hii kwa hiyo hili ulitizame upya.
Naomba tuweke kando ushabiki wa vyama tusaidiane kwenye hili la CUF:
Mwenyekiti LIPUMBA kwa sasa achana na mbio za uraisi andaa sura mpya kwa uhai wa chama.
LIPUMBA msomi mzuri asiye na matumizi kwa sasa (Umma haufaidi elimu yake) tunaomba ugombee ubunge Tabora au hapa DSM (4 sure Temeke utapita) ili tukufaidi ukiwa bungeni.(Primary school students hawaijui CUF)
Mwenyekiti!Kitendo cha CUF kutoonesha makali dhidi ya CCM kutakiadhiri sana chama wakati CDM wakinufaika na hali hii kwa hiyo hili ulitizame upya.