RUV ACTVIST.
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 472
- 110
[h=6]Waajiliwa mnaionaje changamoto hii? kwa nini hatuwezi kusema ukweli kwa mabosi wetu, hatuna ujasiri wa kuwakosoa badala yake tunawaangalia tu wakipeleka mambo kombo? hatuwezi kusema hapana hata kama maelekezo tunayopokea hayana tija? Tunawasifia hata kama wanaharibu?[/h]