Chonde Chonde Ndugu zetu Wazanzibari, Msilete Fyoko Fyoko, Mtaumia bure!

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,466
113,548
Wanabodi,

Baada ya lile tangazo la jana la Amiri Jeshi Mkuu wa nchi yetu, Dr. John Pombe Magufuli kumhusu yoyote atakayete fyoko fyoko popote alipo!.

Natoa wito kwa ndugu zetu Wanzibari, Chonde Chonde msilete fyoko fyoko!, upole, cheko cheko na bashasha za Jakaya Kikwete, zimetuponza Tanzania kama taifa, tukajiachia na kujisahau sana hadi kila siku kuleta fyoko fyoko na hakuna chochote ambacho kilifanyika!.

Magufuli sio Kikwete, jana katoa amri watu wasilete fyoko fyoko, ni kweli Watanzania katika umoja wetu tuitunze, tuienzi na kuithamini amani na utulivu uliopo, tusilete kabisa fyoko fyoko za aina yoyote!.

Naomba kukiri nimepandisha uzi huu kwa msipiration nilioipata kwenye mchango wa mwana jf huyu..
Ukweli utabaki kua kweli na iko siku atakua ukweli hawezi kuingilia ya Zanzibar ataingilia ya Burundi Congo tusubiri tutaona dunia itamuangalia tu mwache apeleke majeshi akaue watu wasio na hatia atakuja jua baadae viongozi asokua na hikima wala busara alicho ongea kimeeleweka
Magufuli atapeleka majeshi Zanzibar kwenda kusimamia amani na utulivu, ikitokea majeshi yakaua mtu, itakuwa mtu huyo ameleta fyoko fyoko!. Mtu akileta fyoko fyoko atashughulikiwa kikamilifu!. Ikitokea wengine wasi na hatia wakadhurika katika kututuliza hizo fyoko fyoko, then aliyesababisha madhara hayo ni muanzisha wa fyoko fyoko na sio mtulizaji au mdhibiti wa fyoko fyoko!.

Dawa ni moja tuu kwa Wanzanzibar, baada ya kumsikia Amiri Jeshi Mkuu akiwaonya msilete fyoko fyoko, hili sio ombi ni amri, hivyo msilete fyoko fyoko!.

Pasco
 
Jaman fyoko fyoko fyoko fyoko fyoko fyoko !!!
Mtapigwa tu hamna namna ukileta fyoko fyoko unatolewa uhai maji!!
Hii ndio tz
 
Fyoko fyoko marufuku Zanzibar.
Kama hutaki kupiga kura baki chumbani March 20. Maalim alisema msimuone Kikwete anacheka cheka ni mbaya sana kwa Zanzibar sasa kaja kiboko ya Fyoko fyoko asiecheka Cheka! Vyombo vipo timamu kabisa barabbarra!
 
Mkuu Pasco,

Unadhani ni kwanini Maalim Seif alijitangaza kuwa ameshinda uraisi ilhali yupo Jecha wa ZEC?
Chifu, 'kujitangaza' huko ndiko kunahalalisha ufutwaji wa matokeo na kurudia uchaguzi?
Sawa Maalim alikosea kufanya hivyo. Lakini sheria ya uchaguzi imetoa adhabu kwa kosa hilo: na adhabu hiyo siyo kufuta uchaguzi wote.
Jecha alisema kuna mambo hayakwenda sawia huko Pemba, lakini hadi sasa hakuna ushahidi kuthibitisha hilo.

Chifu, katika hili la Zanzibar, kutetea inachokifanya serikali ya CCM, ni kujitoa ufahamu.
Msikilize alivyowahi kusema Mkapa juu ya kurudiwa uchaguzi:

Halafu jiulize sasa hicho alichokisema ndicho CCM wanakisimamia sasa hivi.
 
Wanabodi,

Baada ya lile tangazo la jana la Amiri Jeshi Mkuu wa nchi yetu, Dr. John Pombe Magufuli kumhusu yoyote atakayete fyoko fyoko popote alipo!.

Natoa wito kwa ndugu zetu Wanzibari, Chonde Chonde msilete fyoko fyoko!, upole, cheko cheko na bashasha za Jakaya Kikwete, zimetuponza Tanzania kama taifa, tukajiachia na kujisahau sana hadi kila siku kuleta fyoko fyoko na hakuna chochote ambacho kilifanyika!.

Magufuli sio Kikwete, jana katoa amri watu wasilete fyoko fyoko, ni kweli Watanzania katika umoja wetu tuitunze, tuienzi na kuithamini amani na utulivu uliopo, tusilete kabisa fyoko fyoko za aina yoyote!.

Naomba kukiri nimepandisha uzi huu kwa msipiration nilioipata kwenye mchango wa mwana jf huyu..

Magufuli atapeleka majeshi Zanzibar kwenda kusimamia amani na utulivu, ikitokea majeshi yakaua mtu, itakuwa mtu huyo ameleta fyoko fyoko!. Mtu akileta fyoko fyoko atashughulikiwa kikamilifu!. Ikitokea wengine wasi na hatia wakadhurika katika kututuliza hizo fyoko fyoko, then aliyesababisha madhara hayo ni muanzisha wa fyoko fyoko na sio mtulizaji au mdhibiti wa fyoko fyoko!.

Dawa ni moja tuu kwa Wanzanzibar, baada ya kumsikia Amiri Jeshi Mkuu akiwaonya msilete fyoko fyoko, hili sio ombi ni amri, hivyo msilete fyoko fyoko!.

Pasco
Kwa nini anawatisha wakati kasema hilo hawezi kuliingilia?
Kwa nini asiwaachie wazanzibar walimalize wenyewe sasa,vitisho vya nini kwa suala lililojuu yake kimaamuzi?
Afrika lazima tuwarudishe wakoloni ili watutawale tena.....
Mpaka tupate uhuru wa kusema, hili ndiyo na hili hapana na si kuamliwa na viongozi ambao ni waajiriwa wetu! Lazima viongozi hawa watambue sisi ndo tumewaajiri!
Wao wapige tu hata Libya alisema hivi hivi...pigeni.....halafu jumapili mnakuwa mbele karibu na padre na Ijumaa kanzu nyeupeeee! jamani...Neno haki ni rahisi kweli kulitamka..lakini kulisimamia ni zito kama kubeba mlima....
Fyoko...pigeni......
Huyu MUNGU ataona mengi mwaka huu......
 
Wanabodi,

Baada ya lile tangazo la jana la Amiri Jeshi Mkuu wa nchi yetu, Dr. John Pombe Magufuli kumhusu yoyote atakayete fyoko fyoko popote alipo!.

Natoa wito kwa ndugu zetu Wanzibari, Chonde Chonde msilete fyoko fyoko!, upole, cheko cheko na bashasha za Jakaya Kikwete, zimetuponza Tanzania kama taifa, tukajiachia na kujisahau sana hadi kila siku kuleta fyoko fyoko na hakuna chochote ambacho kilifanyika!.

Magufuli sio Kikwete, jana katoa amri watu wasilete fyoko fyoko, ni kweli Watanzania katika umoja wetu tuitunze, tuienzi na kuithamini amani na utulivu uliopo, tusilete kabisa fyoko fyoko za aina yoyote!.

Naomba kukiri nimepandisha uzi huu kwa msipiration nilioipata kwenye mchango wa mwana jf huyu..

Magufuli atapeleka majeshi Zanzibar kwenda kusimamia amani na utulivu, ikitokea majeshi yakaua mtu, itakuwa mtu huyo ameleta fyoko fyoko!. Mtu akileta fyoko fyoko atashughulikiwa kikamilifu!. Ikitokea wengine wasi na hatia wakadhurika katika kututuliza hizo fyoko fyoko, then aliyesababisha madhara hayo ni muanzisha wa fyoko fyoko na sio mtulizaji au mdhibiti wa fyoko fyoko!.

Dawa ni moja tuu kwa Wanzanzibar, baada ya kumsikia Amiri Jeshi Mkuu akiwaonya msilete fyoko fyoko, hili sio ombi ni amri, hivyo msilete fyoko fyoko!.

Pasco
Si alisema haingilii siasa ya zanzibar? Sasa anawatisha ili iweje? wawaache wazanzibar watafute haki yao. Kutumia mabavu kunaweza leta maafa makubwa
 
watachochewa wafanye vurugu watapambana na vyombo vya dola wengine wakipoteza maisha au kupata vilema vya maisha halafu viongozi wao watarudi mezani kutafuta mwafaka mwingine wajifunze katika vurugu zote zilizochochewa na wanasiasa ni kina nani walipata madhala au ni familia ya mwanasiasa gani iliathirika
 
Back
Top Bottom