Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Bishanga come this way my exlover.
Mbona na wewe sasa unamwaga kuku kwenye mtama mwingi? Na isitoshe unatonesha donda? Hivi kwa nini ulitoroka na houseboy?
Bishanga come this way my exlover.
Wala usunipe pole,jambo la thawabu kufunga.
Hujambo lakini sweetie?
Mbona na wewe sasa unamwaga kuku kwenye mtama mwingi? Na isitoshe unatonesha donda? Hivi kwa nini ulitoroka na houseboy?
Sijambo mwaya.......ila nimenuna vile nilikuambia unitafute nikunong'oneze kitu hujantafuta !
saga chupa umeze!
Mimi ndo bishanga abashaija,halafu huyo Kongosho nahisi yuko on heat kudadadeki.
Hivi kwani Hana mshedede?
Hicho ndio nikitakacho...
Kupigwa bakora tu..
Ex,unakumbuka kipigo tulichompa nduli pale Lukaya? Na sherehe ya mapokezi viwanja vya mashujaa Bunazi waikumbuka?sweetlady nilikuwa sijakuambia tu my baby kuwa BISHANGA
ndiye baba yako mzazi. Ilikuwa wakati ule wa vita ya nduli ndipo
tulipokutana naye kule mtukula mimi nilikuwa daktari wa jeshi na
BISHANGA alikuwa kamanda mkuu.
BISHANGA sijatoroka nimetoka kidogo, niko hapa nigeria kwenye foleni
ya kwenda kuonana na mtumishi wa Bwana ili aombee mahusiano yetu
niliona yanalegalega mno, nitarudi siku siyo nyingi zijazo.
nasalitiwa bila chenga