chereko chereko mama kapata baba,baba kapata mama si unaona babu DC na Lizzy wamekuja kuhudhuria we acha honeymoon katerero.kamati ya maandalizi namwachia Erickb52
Yupo humuhumu.
Ndiyo kusema wadhamiria kumjunguvunja au?
Abiria pwani !
Bishanga mfungo sio kesho bhana kesho vunja sufuria, utakuwa na nani akanana!
Jamani mmenionea Kaunga mtaa huu?
Aiyaiya kuolewa ntarudi nyumbani kutembea,,,,,,,kwa heri ndugu zangu kuonana majaliwa,,,,,,,,
Si mimi namnukuu The secretary
(Source: twanga pepeta)
We sema neno moja tu na moyo wangu utapona
Baby TS nikuombe kitu? Ujue uhalali wa iftar upikiwe na mkeo,wajua bishanga sina mke,nitafuturu vipi?
Kesho naomba tufunge ndoa darling,au hutaki nipate thawabu? Pliiiiiiiiiiiiizzzzzz!!!! Mmmmmmmwwwwaaaa i love you!
Nimekuzimikia pia
Mtoto wa geti kali
Lakini je....
Waweza kulumanga ugali?
( source: inspekta haroun)
naombeni ubwabwa!Mwaaa kesho ndoa
Mama nalia
Nampenda kulikoni wote
,???????????? Anaitwa?????????
Mama nalia
Nampenda kulikoni wote
,???????????? Anaitwa?????????
yupo kwa Erotica
kiatu size ten wakiweza weye?yah ugali na kachumbari ndo jadi yangu sema lingine
eti eh!ha ha ha ha haaaaaa,
mtoto wa mwenzio ni mkubwa mwenzio.