Afu huyu mjamaa wa Bara , anaonekana ana mautamu flani eti eeh ?
Mbona wanamgombania sana?
Au lichawi nini ?
Ni maufundi tu pekee?
Staki kuamini !
hahahah!!! we bishaga wewe!!! usimpeleke kwa shekh mwenzio!!The Secretary hana lolote,ananichora tu,we mwache dawa yake kwa shk mansuri ujiji.
mi namkumbusha salito!! atazoea bure!!ah haha hha hha umenifurahisha sana mkuu...tehe tehe tehe tehe tehe...
heee Bishanga kumbe ndumba unatumia!!??Bishanga mhongaji sana afu na vi ndumbandumba anatumia sana,zaidi ya hapo hana lolote mkuu, huwa anahonga hadi anakosa hela ya kupandia daladala (Sorry Bishanga,ni upepo tu)
Baby TS nikuombe kitu? Ujue uhalali wa iftar upikiwe na mkeo,wajua bishanga sina mke,nitafuturu vipi?
Kesho naomba tufunge ndoa darling,au hutaki nipate thawabu? Pliiiiiiiiiiiiizzzzzz!!!! Mmmmmmmwwwwaaaa i love you!
Remmy anaruhusiwa lakini sweetlady hapana
bishanga abashaija,zee la ma apartment masaki apande dala dala? Ushapanda x5 weye?Bishanga mhongaji sana afu na vi ndumbandumba anatumia sana,zaidi ya hapo hana lolote mkuu, huwa anahonga hadi anakosa hela ya kupandia daladala (Sorry Bishanga,ni upepo tu)
check your PM,something very private,achana na wanga hawa!PakaJimmy muongo.
Mie Bishanga...? Akhaa...
who is the lucky aliyekupa salam za malavudavi jana?Samahani PakaJimmy usinivunjie mapenzi yangu
Ni Jana tu niliambiwa I love u sana.
heee Bishanga kumbe ndumba unatumia!!??Bishanga mhongaji sana afu na vi ndumbandumba anatumia sana,zaidi ya hapo hana lolote mkuu, huwa anahonga hadi anakosa hela ya kupandia daladala (Sorry Bishanga,ni upepo tu)
who is the lucky aliyekupa salam za malavudavi jana?
kesho baada ya swala mbele ya bishangs na dad wako itakuwa hivi:
sheikh: bishanga ,kwa mahari ya dola laki moja unampokea TS binti Babu DC awe mmeo.
Bishanga: nakubali (huku nimemshika Babu dc mkono).
Inarudiwa mara tatu.
The Secretary hana lolote,ananichora tu,we mwache dawa yake kwa shk mansuri ujiji.
Unajifanya hunijui eeh?
nazuga mwenzio,naogopa kuachika!