Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Kufuatia uamuzi wa chadema kumwandikia barua ya onyo Mbunge wa Maswa Mashariki John Shibuda pia mkumtishia kumvua uanachama mbunge huyo, ndani ya wiki hii kumekua na mzagao wa maneno kwamba chadema wanajipanga juu ya uchaguzi mdogo na wanamwandaa dr. Slaa kama mgombea mbadala ktk jimbo hilo. Binafsi nimeshitushwa na kushangazwa sana kwa hili. Kwa kuitakia mema chadema na katibu mkuu wake, natumia nafasi hii kumshauri dr. Kuondoa wazo hilo la kugombea ktk jimbo hilo kwani itamweka ktk upande ambao sio stahili yake, hili swala litajenga skendo na litapunguza sifa kwa Dr. Slaa. Chonde chonde plz!