Huyu jamaa anaitwa MACHO anakaa Mwananyamala.....na hapo ni karibu na MANGO imetokea leo usiku
kwa hiyo sio mchawi
Hilo silijui.....vile mimi siamini uchawi.......mtazamo wangu huyu ni mgonjwa wa akili......nasisitiza tukio halikuwa Bagamoyo
Huyu jamaa anaitwa MACHO anakaa Mwananyamala.....na hapo ni karibu na MANGO imetokea leo usiku
Huyu jamaa anaitwa MACHO anakaa Mwananyamala.....na hapo ni karibu na MANGO imetokea leo usiku
Mara nyingi katika jamii matendo kama haya huwa yanatokea; anakutwa mtu ana tatizo la akili na anashindwa kujieleza vyema na watu wana-conclude kwamba ni mchawi. Hii inatokana na tatizo la kuamini zaidi juu ya uchawi katika ya jamii zetu. Hebu watu wanapokutwa katika mazingira kama haya ni bora wakapatiwa hifadhi ya nguo kwanza na kuanza kuhojiwa kwa taratibu. Hata wewe wawezwa kukutwa katika mazingira yasiyokuwa ya kawaida na ukajikuta unashindwa kujielezea.