We Madame B, nani kakwambia tumelala,mi napiga cha pili hapa kwa Mama V afu naendelea chit chat! hapa hadi mornie!
Mchana kama tupo kwenye Kitchen Party(wanawake) au Begi Party(wanaume),
ikifika usiku mwalala saa 5 kasoro??
Kweli ngoma ya kitoto haikeshi.
Nitaugeuza usiku uwe mchana,na kuta zenu ziwe vioo tuyaone.
hahahahaWe Madame B, nani kakwambia tumelala,mi napiga cha pili hapa kwa Mama V afu naendelea chit chat! hapa hadi mornie!
Pole shosti.
Kwani huna hata kidumu?
Mwaaaah..!!
Hyo night shift yako itumie vizuri hubby,
usije niletea watoto wa nje.
Tena...Mmwaaaah...!!!
Ndo nakwambia hvo.
Utakula Ugali Ulikopeleka Mboga!!!
Tena huyo mida hii yuko Bunju kwa Mama Njopeka Kilabuni,
anauvuta ugoro huku anashushia na Chang'aa.