Topic closed!
kalaleee.....
Nipo kwenye harakati ili IFUTWE. hujakose, tuwe pamoja.Hivi BIG X si ndo alisema humu ni umbea tu
Vidole viliteleza bana.ndio huyo huyo halafu kesho yake akapost thread humu humu chit chat. Dah.
Yap! hujakosea... Tupo wengi. Siku si mingi mtaona matunda yake.Kuna watu walikuwa wanasema ifutwe, sijui kwasababu gani. Hivi hasa inasaidia nini...
yaani Big X jina kubwaaaa lakini Avatar inanimaliza mbavu.
Hapo sasa mnatafuta ugomvi. Mnataka nilianzishe nini!!!.teh teh teh ndo zake yule....si unakumbuka aliingia na gia za kulalamika watu hawacoment kwenye post zake
Kubali kwanza Cheat-Chit-chat ifungwe.Vp wakuu, mbona mnaacha kuniongelea mimi(Mwita25) na mnaanza kuongeleana nyie kwa nyie?
Safi sana... unakaa mitaa gani nije nikutandike Lager za kutosha.ifungweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Acha kuharibu majina ya watu. utachukuliwa hatua za kisheria. ni BIG X.Big -x
Vp wakuu, mbona mnaacha kuniongelea mimi(Mwita25) na mnaanza kuongeleana nyie kwa nyie?