eeeh wifi mzima wewe!!?? af we twin Eversmilin Gal nimekumicijeeeee!!!!!!!
Mi sio Mdau Kiviiile wa JF ni vile tu nna Interest kadhaa humu hata ni kaactivate ID
Sasa katika Forums Zote lakini hii Forum yenu Kiboko ...huweZ ku intervEne kwenye topic nyingi coz Hutaelewa hata Ukielewa contents ni Personal...
Sa ndio nauliza mnajuana ama ndio JF long time kitamboo ?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
hiyo kitu umeweka hapo imeugusa mtima wangu! Tatizo hapo Kili time kuna wahudumu wazee sana. Njoo A-towners karibu na Lenana!
davie,chichat ni zaidi ya uijuavyo,kwenye jukwaa hili usiingie kichwa kichwa usijekula za uso.
oooh puliiiiiz.......Muleba bana......
Nimewamiss kinoma noma ila ndo nimerudi nlikua naumwa mwenzio
muambrrrrrrrrrrrriiiiiieeeee!
Hivi wewe unamjua imma kulaya wa arusha? Alikuwaga anatuma salamu kama kichaa, au ulikuwa hujazaliwanywa enzi hizo?
ha ha ha.....nisimjue sasa......
pole, bora umejigundua. haya karibu!!!!!
marejesho , huhitaji kuomba msamaha, nilisha kutambulisha kwa shemeji zako na wifi zako wote. Jimwage tu humu. Wakiku"tokea" waambie unae Filipo . Feel free dear!
hiyo kitu umeweka hapo imeugusa mtima wangu! Tatizo hapo Kili time kuna wahudumu wazee sana. Njoo A-towners karibu na Lenana!
heh, mbona hukuja hospitali? Afu The secretary kapotelea wapi? MziziMkavu hebu sema, kisukari usikute kamfukuza kazi.
heee jaman twin!! pole kwa kuumwa my twin!!!Nimewamiss kinoma noma ila ndo nimerudi nlikua naumwa mwenzio
Yu sii.. hata bosi wao sijui alikuwa anachinjwa akaponyoka maana hilo ngeu la shingoni... Filipo wapi leo tujimwage?? Nadhani tuanze tu weekend leo kama hauko bize sana.: Smash:
Yu sii.. hata bosi wao sijui alikuwa anachinjwa akaponyoka maana hilo ngeu la shingoni... Filipo wapi leo tujimwage?? Nadhani tuanze tu weekend leo kama hauko bize sana.: Smash: