kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
Hivi hawa jamaa zetu wa msajiri wa nyumba, huwa wanatoa vibali vya ujenzi wa vijumba vinavyooteshwa juu ya nyumba za shirika au vile vijumba vinavyooteshwa penmbeni maana inachefua kuona vijumba vya mabati tupu au magunia vikioteshwa na hawa jamaa zetu, na je huwa vinalipiwa?