Achana na mchina wewe nunua smart phone itakuua kwa mionzi!
Mionzi ipo kwa smart phone au mchina?explain please.
mimi natumia tecno 0707,ninayo mwaka na nusu......net ni mwendo mdundo,natesa na uc browser mbaya,free proxy kama kawa,kwa kweli cjawah kupenda simu zaidi ya hii
ip 256.155.153.105 port 80.mkuu ni nipatie hizo free proxy af zina tinga natandao upi??
mkuu ni nipatie hizo free proxy af zina tinga natandao upi??[/QUOTE
IP 256.155.153.105 PORT 80 voda.