KakaJambazi JF-Expert Member Jun 5, 2009 18,711 12,067 Jun 16, 2012 #1 My fav. Wakiwezeshwa, , wanaweza.
Kunta Kinte JF-Expert Member May 18, 2009 3,687 1,278 Jun 16, 2012 #3 Maana ya kitchen party siku hizi imepotea, kilichoibuka ni kuonyeshana ufundi wa viuno na kujipatia vyombo!!
Maana ya kitchen party siku hizi imepotea, kilichoibuka ni kuonyeshana ufundi wa viuno na kujipatia vyombo!!
Kigogo JF-Expert Member Dec 14, 2007 20,508 6,146 Jun 16, 2012 #4 hawa no kutwa wako kwenye majukwaaa wanataka viti maalumu na kusema wakiwezeshwa wanaweza...hovyo kabisa
hawa no kutwa wako kwenye majukwaaa wanataka viti maalumu na kusema wakiwezeshwa wanaweza...hovyo kabisa
kirumonjeta JF-Expert Member Feb 9, 2008 3,966 1,964 Jun 16, 2012 #5 Hivi kumbe kitchen party ndo hivi,wangu haendi toka leo
KakaJambazi JF-Expert Member Jun 5, 2009 18,711 12,067 Jun 16, 2012 Thread starter #6 kirumonjeta said: Hivi kumbe kitchen party ndo hivi,wangu haendi toka leo Click to expand... We upendi afundishwe vitu vitamu?
kirumonjeta said: Hivi kumbe kitchen party ndo hivi,wangu haendi toka leo Click to expand... We upendi afundishwe vitu vitamu?
CUTE JF-Expert Member Mar 5, 2012 1,230 591 Jun 16, 2012 #7 mabig jamani...KakaJambazi nimepitia hiyo blog khaa!
zomba JF-Expert Member Nov 27, 2007 17,240 3,910 Jun 16, 2012 #8 Huu ni ushenzi na ukosefu wa maadili.
MadameX JF-Expert Member Dec 27, 2009 7,792 3,848 Jun 16, 2012 #9 Halafu mnasema nchi hii imezidi wasagaji, mila au itikadi nyingine must die...
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Sep 21, 2011 16,510 28,416 Jun 16, 2012 #10 hawa ndo wanawake bwana..give them a chance you will regret..ukiwabania wanalalamika..yaani tabu tupu
hawa ndo wanawake bwana..give them a chance you will regret..ukiwabania wanalalamika..yaani tabu tupu