China products should be banned!

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Wachina Watatumaliza Mwaka Huu

_maziwayanasumu.jpg

Mkaguzi wa Chakula wa Mamlaka ya Chakukula na Dawa Tanzania (TFDA) Dk. Bahati Midenge akimwaga maziwa jijini Dar es Salaam jana wakati wa uteketezaji wa tani 34 za maziwa ya unga aina ya Golden Bell, kutoka China baada ya kugundulika kuwa na kemikali ya ‘Melamine’ inayosababisha maradhi ya figo kwa watoto.

Source: Haki Ngowi's blog.

rfeit good zinazoingizwa na wachina nchini mwetu. Nimeshasikia nyingi tu zikiwemo simu, electronics e.t.c ambazo kwa uelewa wangu mdogo zinachangia katika kudumaza uchumi wetu. Lakini linapokuja suala la afya hasa kwa watoto wetu wachanga kama hili la maziwa ndipo ninaposhikwa na hasira sana. Najua kwa kweli taasis za kudhibiti ubora wa bidhaa nchini zimekuwa zikijitahidi sana.

Swali langu: Pamoja na ushahidi wa bidhaa hizi feki toka China, hatuwezi kuwafungia wasiingize bidhaa zao nchini mpaka watakapojirekebisha? Sheria zetu kuhusu import/export goods na people's protection zinasemaje juu ya hili?

Naomba mnisaidie
 
Last edited:
MwanajamiiOne Naamini kila mtu hafurahii kwa uingizaji wa vitu vibaya na hasa vinavyoweza dhuru afya zetu.Lakini Solution unayopendekeza binafsi naona ni haiwezekani maana uki ban goods zote zinazotoka China maana yake ni kuwa humtakii mema Mtanzania wa kawaida, maana ukifanya hivyo utataka mwenzangu na mimi mwenye kipato cha chini anunue kiatu,simu,Computer,kijiko,kisu,nk kilichotengenezwa na Mmarekani au Ulaya kitu ambacho ni kigumu.

Kuna Wamerekani wenyewe wanaona vitu vinavyotengenezwa kwao wenyewe hawawezi mudu gharama za kununua na wanaishia kununua vilivyokuwa imported toka China,sasa sijui kwa sisi tunaoishi chini ya Dola moja kwa siku!!!

Njia sahihi ni kuboresha utaalamu tulionao katika kudhibiti bidhaa zinazoingizwa nchini kwetu, Kuondoa ufisadi uliokatika uingizaji wa vitu hivyo.

Pia the Best solution nafikiri kwa Tanzania yenye ardhi nzuri na hali ya hewa bora kabisa ukilinganisha na China haikutakiwa ingiza bidhaa za vyakula kama maziwa toka China!Ni aibu sana!!!!Tulitakiwa tuzalishe maziwa na kuwauzia wachina maana soko lao ni kubwa sana,Na wachina wenye akili kitu ambacho tumekizalisha in a more natural way Tanzania kwao wangetumia gharama yoyote kukinunua na kukitumia badala ya cha kwao hapa. Kuna vitu kadhaa ambavyo tunavyo Tanzania(including vyakula)wachina wanatumia gharama yoyote na wanavitumia kwao.

Tunatakiwa tufanye taratibu za kuhakikisha tuna import zile bidhaa nzuri tu kutoka China na Mbaya tuachane nazo_Otherwise China kwa sasa ndiyo producer wa asilimia kubwa ya vitu duniani na Nchi nyingi zimegomea mpaka sasa zimeshindwa na kukubaliana na hali halisi ya kuwa Mchina ndiyo huyo anainuka kutoka level aliyokuwa (pamoja na akina Tanzania) mpaka level ya juu.

Na nchi nyingine zinajitahidi tu kuhakikisha wanachopatiwa na wachina ni Quality goods na hili ndilo tunaloshindwa sisi. Na wachina wanachofurahisha ni kuwa ikithibitishwa kuwa mtu kaleta upuuzi kama huo wa kupeleka sumu nje ya nchi yao, haijalishi ni Waziri au nani anaadhibiwa vikali na nafikiri unajua adhabu yao ni nini.

Labda mwenzangu na mimi hauishi Bongo, Lakini mimi nikiangalia kila kitu nimetoa China toka kuvaa, vyombo vya ndani, simu, radio, viti vya kisasa, vifaa vya umeme, nyumba yangu vitu kibao ni vya China, Sasa sijui kama vingekuwa banned sijui na ka'uwezo kangu haka ningepata wapi hivi vitu!

Kaka ukipata muda nenda utembee China na ndiyo utagundua tatizo ni sisi utaratibu wetu wa kupata vitu toka kwa hawa jamaa ndo mbovu,jamaa wana kila kitu (kizuri na kibaya, cheap na Expensive, feki na original), Unachagua mwenyewe kutokana na Interest zako.

Na kila siku wachina wanapaa kwenda juu wanabadilika toka kutoa Feki mpaka Original, Sisi tunalala na kupiga kelele kwamba jamaa wanatuletea feki wakati hata maziwa tu yametushinda tengeneza!!!!!!!
 
MwanajamiiOne Naamini kila mtu hafurahii kwa uingizaji wa vitu vibaya na hasa vinavyoweza dhuru afya zetu.Lakini Solution unayopendekeza binafsi naona ni haiwezekani maana uki ban goods zote zinazotoka China maana yake ni kuwa humtakii mema Mtanzania wa kawaida, maana ukifanya hivyo utataka mwenzangu na mimi mwenye kipato cha chini anunue kiatu,simu,Computer,kijiko,kisu,nk kilichotengenezwa na Mmarekani au Ulaya kitu ambacho ni kigumu.

Kuna Wamerekani wenyewe wanaona vitu vinavyotengenezwa kwao wenyewe hawawezi mudu gharama za kununua na wanaishia kununua vilivyokuwa imported toka China,sasa sijui kwa sisi tunaoishi chini ya Dola moja kwa siku!!!

Njia sahihi ni kuboresha utaalamu tulionao katika kudhibiti bidhaa zinazoingizwa nchini kwetu, Kuondoa ufisadi uliokatika uingizaji wa vitu hivyo.

Pia the Best solution nafikiri kwa Tanzania yenye ardhi nzuri na hali ya hewa bora kabisa ukilinganisha na China haikutakiwa ingiza bidhaa za vyakula kama maziwa toka China!Ni aibu sana!!!!Tulitakiwa tuzalishe maziwa na kuwauzia wachina maana soko lao ni kubwa sana,Na wachina wenye akili kitu ambacho tumekizalisha in a more natural way Tanzania kwao wangetumia gharama yoyote kukinunua na kukitumia badala ya cha kwao hapa. Kuna vitu kadhaa ambavyo tunavyo Tanzania(including vyakula)wachina wanatumia gharama yoyote na wanavitumia kwao.

Tunatakiwa tufanye taratibu za kuhakikisha tuna import zile bidhaa nzuri tu kutoka China na Mbaya tuachane nazo_Otherwise China kwa sasa ndiyo producer wa asilimia kubwa ya vitu duniani na Nchi nyingi zimegomea mpaka sasa zimeshindwa na kukubaliana na hali halisi ya kuwa Mchina ndiyo huyo anainuka kutoka level aliyokuwa (pamoja na akina Tanzania) mpaka level ya juu.

Na nchi nyingine zinajitahidi tu kuhakikisha wanachopatiwa na wachina ni Quality goods na hili ndilo tunaloshindwa sisi. Na wachina wanachofurahisha ni kuwa ikithibitishwa kuwa mtu kaleta upuuzi kama huo wa kupeleka sumu nje ya nchi yao, haijalishi ni Waziri au nani anaadhibiwa vikali na nafikiri unajua adhabu yao ni nini.

Labda mwenzangu na mimi hauishi Bongo, Lakini mimi nikiangalia kila kitu nimetoa China toka kuvaa, vyombo vya ndani, simu, radio, viti vya kisasa, vifaa vya umeme, nyumba yangu vitu kibao ni vya China, Sasa sijui kama vingekuwa banned sijui na ka'uwezo kangu haka ningepata wapi hivi vitu!

Kaka ukipata muda nenda utembee China na ndiyo utagundua tatizo ni sisi utaratibu wetu wa kupata vitu toka kwa hawa jamaa ndo mbovu,jamaa wana kila kitu (kizuri na kibaya, cheap na Expensive, feki na original), Unachagua mwenyewe kutokana na Interest zako.

Na kila siku wachina wanapaa kwenda juu wanabadilika toka kutoa Feki mpaka Original, Sisi tunalala na kupiga kelele kwamba jamaa wanatuletea feki wakati hata maziwa tu yametushinda tengeneza!!!!!!!

Mkuu,
Hii analysis ni nzuri sana na kwa kiasi kikubwa imejitosheleza katika kujibu swali la mwanajamiione.

Kuna usemi mmoja wa kiswahili unasema kuwa "Shona suti kwa ukubwa wa kitambaa ulichonacho'

Wachina wana vitu vya ubora mbalimbali, uwezo wako wa pesa ndiyo utaoamua ni bidhaa ya ubora utaweza kuinunua. Kama ulivyosema mkuu hapa nilipo kila kitu kimetengenezwa China.
 
Mkuu,
Hii analysis ni nzuri sana na kwa kiasi kikubwa imejitosheleza katika kujibu swali la mwanajamiione.

Kuna usemi mmoja wa kiswahili unasema kuwa "Shona suti kwa ukubwa wa kitambaa ulichonacho'

Wachina wana vitu vya ubora mbalimbali, uwezo wako wa pesa ndiyo utaoamua ni bidhaa ya ubora utaweza kuinunua. Kama ulivyosema mkuu hapa nilipo kila kitu kimetengenezwa China.

Kutuuzia maziwa yenye sumu ndio ubora ulio kwenye kipimo gani mkuu? Hapo hamna ubora hiyo ni sumu period!

Naungana na mtoa hoja hapo juu, nadhani tunachokosa ni serikali yenye upeo. Kwa nchi kama Tz ni haki kabisa kuzuia kuingizwa kwa bidhaa za vyakula za aina yeyote ile. Naamini tunao uwezo wa kuzalisha maziwa na vyakula vingine kutosheleza soko la ndani, na ziada tukauza nje. Tunachokosa ni viongozi wenye upeo na mikakati sahihi.
 
Kutuuzia maziwa yenye sumu ndio ubora ulio kwenye kipimo gani mkuu? Hapo hamna ubora hiyo ni sumu period!

Naungana na mtoa hoja hapo juu, nadhani tunachokosa ni serikali yenye upeo. Kwa nchi kama Tz ni haki kabisa kuzuia kuingizwa kwa bidhaa za vyakula za aina yeyote ile. Naamini tunao uwezo wa kuzalisha maziwa na vyakula vingine kutosheleza soko la ndani, na ziada tukauza nje. Tunachokosa ni viongozi wenye upeo na mikakati sahihi.

Hivi hawa jamaa wanaotengeneza haya maziwa China si walishafungwa au uwawa?
 
Hiyo ndiyo hasara ya misaada, mmejenegewa uwanja wa Taifa na hao hao wachina -- mpaka Rais wao akaja kwenye ufunguzi -- na sasa mwaona haya kuchukua hatua madhubuti dhidi ya bidhaa feki -- na hata vyakula vyenye sumu kutoka kwa wachina.
 
Hivi hawa jamaa wanaotengeneza haya maziwa China si walishafungwa au uwawa?

Kwa taarifa tu ni kuwa kwa sasa uchina wanaweka mizizi ktk bara la Afrika ili ku-secure cheap raw materials, fuels na hata pesa yetu ya ngama ya kigeni.

Majuzi nimesikia wakijikita kutoa mkopo DRC, on return watakamata resources huko mbeleni kufidia deni. Kwa weak leadership ya DRC na corruption, it will be a lot easier to rob the DRC and leave it in horrible conditions than it is now.

Wote tunajua wachina wanachofanya Sudan ..kuuza silaha in exchange of OIL.

Tunajua wanachofanya Zimbabwe..kumuuzia Mugabe silaha wakati wanajua wanachi wa kule wapo hoi bin taaban kwa njaa, huduma mbaya na mbovu za kijamii na serikali ya kifashisti.

Majuzi tumesikia pia kuwa wanampango wa kukamata ardhi hapa TZ kwa kilimo, na kama tujuavyo with mafioso system iliyopo, the worst is expected.

Anyway, tukae mkao wa kuliwa maana hamna wa kututetea.
 
Back
Top Bottom