China Plans Huge Buses That Can DRIVE OVER Cars (PHOTOS)

Dubai makatibu wa wizara majority ni waingereza...sisi ni waTZ na ni wanasiasa

Maendeleo mara nyingi ni kama moto, lazima kuwepo na cheche na nyasi kavu. Naamini waTz ni nyasi kavu, hawajapata tu cheche..viongozi tulionao ni BOGUS , from 'Dr. Mkwere' mpaka huko chini, huhitaji kutumia durubini ya kutazamia nyota kuwaona. Sasa kama hawana maono sijui kwanini wanang'ang'ania vyeo, halafu eti mwingine anasema tusiwalaumu? Excuse u?

Kama hawataki kulaumiwa WAKAE PEMBENI EBO!!
 
Naambiwa kuwa wakati tunapata uhuru hawa jamaa tulikuwa sawa kimaendeleo!! WATZ ni watu wa TULIKUWA NAE!

Siyo kweli kuwa tulikuwa sawa na hawa wachina wakati tunapata uhuru. Ila hawakuwa wametupita sana kimaendeleo na ilikuwa inawezekana kuwafikia kama tungejipanga sawasawa. Tofauti tu ni kuwa baada ya uhuru tu sisi tulianza kuwekeza kwenye siasa za kupiga domo wakati wenzetu walikuwa wanawekeza kwenye elimu ya sayansi na technolojia.
 
Kuliko za JK na flyovers na DART(A Ten year Alinacha-dream)?.....we are told hii kitu ni 10% less than the subway...na the fact that its from the Chinese its posssible why not? Ingekuwa western idea nisinge jaribu kuiota....tusikate tamaa

Safari unataka kuniambi unawezakulinganisha China na Tanzania, teh teh teh!
 
Wachina ......................................................................!!!!!!!!!!!!!!!!! watanzania tuna mawazo kama hayo gvt ndio problem.
 
Safari unataka kuniambi unawezakulinganisha China na Tanzania, teh teh teh!

On a micro scale yes.....wao wako mbali sana on mcro terms,wanaweza kusimamisha a complete new city pale Chalinze in three years....lakini kwa hili la foleni twaweza kuiga
 
Maendeleo mara nyingi ni kama moto, lazima kuwepo na cheche na nyasi kavu. Naamini waTz ni nyasi kavu, hawajapata tu cheche..viongozi tulionao ni BOGUS , from 'Dr. Mkwere' mpaka huko chini, huhitaji kutumia durubini ya kutazamia nyota kuwaona. Sasa kama hawana maono sijui kwanini wanang'ang'ania vyeo, halafu eti mwingine anasema tusiwalaumu? Excuse u?

Kama hawataki kulaumiwa WAKAE PEMBENI EBO!!

Kaka,
Shida yetu ni kuwa kimfumo wa utawala tuko vilevile 50 years on...tunadhani kila alilofanya Nyerere basi marais wote waliomfuata wafanye hivohivo....fikiria ni watendaji wanagapi rais anawateua...sasa ukiwa na rais asiye makini kiukweli ni kuwa na wateule wake watakua hivohivo...bootlickers....
 
Dubai makatibu wa wizara majority ni waingereza...sisi ni waTZ na ni wanasiasa

I don't know much about Dubai's governance so I can't comment on that.

Lakini huwa ninajiuliza hivi kama serikali yetu inakiri kuwa imeshindwa kuendesha mashirika ya umma na imeona suluhu ni kuyaacha yafe yenyewe, kuyauza na kuyabinafsisha yote, ni nini kinawafanya waamini kuwa wanaweza kuongoza serikali kuu ikianzia na ofisi ya rais. Kwa nini tisifike wakati tukakiri kuwa yule mdudu aliyefanya tukashindwa kuendesha mashirika yetu ya umma bado yupo na anaathiri uendeshaji wa serikali kuu.

Suluhu inaweza kuwa ni ama kubinafsisha taasisi zote za serikali ikiwemo ofisi ya rais, au kuwaajiri wataalam ongozi/elekezi kutoka sehemu mbali mbali za dunia kuja kuendesha hizi wizara na taasisi za serikali. Inawezekana ndicho Dubai waliamua kufanya. Badala ya uchaguzi tutakuwa tunatangaza vacancies kimataifa tunafanya interviews na kupata the best leaders kuongoza taasis zetu. Hii itatupunguzia gharama za uchaguzi za kila baada ya miaka mitano.

Ni mawazo mbadala tu hayo.
 
Maendeleo mara nyingi ni kama moto, lazima kuwepo na cheche na nyasi kavu. Naamini waTz ni nyasi kavu, hawajapata tu cheche..viongozi tulionao ni BOGUS , from 'Dr. Mkwere' mpaka huko chini, huhitaji kutumia durubini ya kutazamia nyota kuwaona. Sasa kama hawana maono sijui kwanini wanang'ang'ania vyeo, halafu eti mwingine anasema tusiwalaumu? Excuse u?

Kama hawataki kulaumiwa WAKAE PEMBENI EBO!!

Ni nyasi kavu zilizowekwa ndani ya mfuko wa plastiki kisha zikatumbukizwa ndani ya dimbwi la maji ya amani, utulivu na mshikamano.
 
Kaka,
Shida yetu ni kuwa kimfumo wa utawala tuko vilevile 50 years on...tunadhani kila alilofanya Nyerere basi marais wote waliomfuata wafanye hivohivo....fikiria ni watendaji wanagapi rais anawateua...sasa ukiwa na rais asiye makini kiukweli ni kuwa na wateule wake watakua hivohivo...bootlickers....

You have a point Safari_ni_Safari. Mbaya zaidi huyu Mheshimiwa hajawekewa vigezo vinavyoeleweka vya kuteua watendaji wa serikali. Vigezo anavyo yeye mwenyewe kichwani. Anaweza kuteua mtu yeyote kukamata nafasi yoyote ya kisiasa bila kuulizwa na mtu yeyote. Huyu ni imperial president na ni mfumo tuliourithi toka kwa Marehemu Mwl. Nyerere.
 
Mimi napinga sana kasumba ya kulaumu uongozi. Bongo hatuna wataalam wenye uoni wa hali hiyo. Kwa maneno mengine hata kama Baraza zima la Mawaziri wa china wangekuja Tz na kuichukua nchi kuwaongoza wabongo, hawawezi kutoa vitu vya maana. Kwa hiyo sisi tunaoongozwa ndo mazuzu... ndo maana mambo hayaendi. Wewe ungekuwa madarakani ungefanya nini??? Huu ni umasikini wa fikra na mali tulio nao Afrika.

Hao wataalam wanapatikana VP? unataka kusema wachina walishushiwa toka mbinguni, siasa safi na zenye mlengo mmoja wa kusomnga mbele na kuacha upumbavu wa maneno ya jukwaani na kushangilia kama watu wa vijiweni. ni UPUMBAVU.
 
China has overtaken the United States as the world's biggest producer of greenhouse gases and biggest energy consumer.
But the country is also thinking in big and bold ways when it comes to how it will reduce pollution and a new plan to build a "straddling bus" is among the most space-age schemes yet.
In an effort to go green and relieve congestion without widening roads, the Shenzhen Huashi Future Parking Equipment company is developing a "3D Express Coach" (also known as a "three-dimensional fast bus").

CHINA-BUS.jpg
The innovation will allow cars less than 2 meters high to travel underneath the upper level of the vehicle, which will be carrying passengers (PHOTOS). According to China Hush, the 6-meter-wide 3D Express Coach will be powered by a combination of electricity and solar energy, and will be able to travel up to 60 kilometers per hour carrying some 1200 to 1400 passengers.

CHINA-BUS.jpg
The first 115 miles of track is set for construction in Beijing's Mentougou district starting in late 2010. The Chairman of the Huashi Future Parking Equipment company boasts it will take only a year and 500 million yuan (around $73 million) to build the futuristic transportation system.
CHINA-BUS.jpg



3D Express Coach (PICTURES): China Plans Huge Buses That Can DRIVE OVER Cars

Source: China Plans Huge Buses That Can DRIVE OVER Cars (PHOTOS) - Yahoo! News
 
hakuna jiji chafu na lisolopangiliwa vizuri kama Dar es salaam, tumeshindwa kujifunza hata kwa udhaifu huo leo miji inayokuwa kama Arusha, Mwanza, Dodoma na Mbeya nayo inarudia makosa hayohayo muda si mrefu miji yetu yote itakuwa kama KIBERA, kwa kuwaacha akina Londa, Zungu na Mkwere madarakani wakiiba maeneo ya wazi kwa manufaa binafsi.
 
Back
Top Bottom