WA MAMNDENII
JF-Expert Member
- Jun 5, 2010
- 344
- 57
wanajamvi wataalamu wa uchumi nimesikia na kusoma vyombo mali*2 vya habari kwamba nchi za ulaya zinaitaka China isishushe thamani ya hela yake sasa mimi nashindwa kujua itakavyosaidia kukuza uchumi wa ulaya na kuifanya euro nayo iwe na nguvu?