Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Mbona hata hayo maendeleo ya karne yaliyo letwa na yule aliyekuwa boss wa madini ya kuibiwa laptop mbili, simu nne, dola 4000 bila kusahau ule mtaji wa SMG na bastola wakati wa akifanya uzinzi ziliandikwa na magazeti pia?