AmaniKatoshi
Senior Member
- Mar 31, 2009
- 158
- 14
Baada ya serekali ya Jk kujitambulisha kwa wananchi kuwa inayumba yumba....ninaomba mnisaidie kuelewa haya!
1. Chikawe anaposema Sitta na Mwakyembe hawakufuata utaratibu wa kuongea na media badala ya kutoa maoni kwa waziri ngeleja, je, yeye alipoongea haya kuhusu Sitta na Mwakyembe mbele ya waandishi wa habari ndio utawala wake bora?
- Kwa kuwa issue ya DOWANS haijapita kwa baraza kla mawaziri, SITTA kusema kuwa inalipwa bila mawazri kuridhia ni makosa gani?
2. Je, Werema anapomgwatukia Sitta kuwa BARAZA LA MAWAZIRI lina siri zake, je, siri hizo ni kuficha maovu na kupitisha yanayowanufaisha wao huku sisi wananchi tukifa kibudu?
3. Je, kama Mwakyembe na Sitta wangeonea na media wakapraise DOWANS walipwe, Chikawe angewaambia hawakufuata taratibu za baraza la mawaziri na utawala bora?
Kwa style ya Chikawe, Je Tanzania tunaeelekea kwenye utawala bora au utawala gani?
1. Chikawe anaposema Sitta na Mwakyembe hawakufuata utaratibu wa kuongea na media badala ya kutoa maoni kwa waziri ngeleja, je, yeye alipoongea haya kuhusu Sitta na Mwakyembe mbele ya waandishi wa habari ndio utawala wake bora?
- Kwa kuwa issue ya DOWANS haijapita kwa baraza kla mawaziri, SITTA kusema kuwa inalipwa bila mawazri kuridhia ni makosa gani?
2. Je, Werema anapomgwatukia Sitta kuwa BARAZA LA MAWAZIRI lina siri zake, je, siri hizo ni kuficha maovu na kupitisha yanayowanufaisha wao huku sisi wananchi tukifa kibudu?
3. Je, kama Mwakyembe na Sitta wangeonea na media wakapraise DOWANS walipwe, Chikawe angewaambia hawakufuata taratibu za baraza la mawaziri na utawala bora?
Kwa style ya Chikawe, Je Tanzania tunaeelekea kwenye utawala bora au utawala gani?