Rais Mwizi aende Chalinze kucheza mdundiko atuachie wenyewe tuijenge nchi yetu.
Tuwasafishe mafisadi papa na aiache Tanzania kama ambavyo aliikuta.
Mwenzio alikuwa anatafuta kura za UWT na akapata
Rais Mwizi aende Chalinze kucheza mdundiko atuachie wenyewe tuijenge nchi yetu.
Tuwasafishe mafisadi papa na aiache Tanzania kama ambavyo aliikuta.
Enzi na mzee kipara alikua asikiki huyu sijui alikua wapi kipindi hicho!Chikawe ni mmoja kati ya wengi tunaowazungumzia ambao wamelewa tu na madaraka ya kuteuliwa yasiyotoa mwanya wa wenye uwezo na badala yake kujuana kikitumika km kigezo cha uteuzi....Ni imani yangu katiba mpya itamulika maadili na ukomo wa maamuzi wa watu aina ya Chikawe
Kumbe kila waziri yuko kivyakevyake hata ktk malipo makubwa kama haya?
Mimi binafsi naona CHIKAWE anahaki ya kutueleza kile kilichomo moyoni mwake. Hapa Tutaona nani amewafuga hao Dowans. Na sasa wanazidi kuongezeka Pembe zao zimeanza kuyeyuka. Hivyo kama Chikawe Ametumwa kuwaondoa Mwakyembe na Sitta basi atangaze tu kuwa na yeye ni FISADI MKUU.