Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,461
- 39,928
Chikawe hana madaraka wala uwezo wa kulazimisha nidhamu kwa waziri yeyote. Kama yeye aliona kuwa wenzake wamekosea kwanini na yeye asimwambie Waziri Mkuu au Rais yeye mwenyewe? Sasa kesho kina Mwakyembe nao wakimjibu kwa magazeti ataona wamemvunjia heshima au wamevunja kanuni?