yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
aliimba wimbo na mzee yusuph pia.
ina maana mzee yusufu ni boflo?
aliimba wimbo na mzee yusuph pia.
Boflo wewe umetoboa nini?
Kwani jamaa alishawahi kufanya shoo Mombasa hivi karibuni??
Niliwahi kumwona maisha club siku moja, bwana mdogo ana kishtobe utadhani kapaka mchina, labda ndio kaamua uchumi wake asiukalie!
Safi sana ameweka alama ya vidole viwili ya chama chetu pendwa Pipozzzzz pawa!
Tusiwe na papara tuvute subira hatuelwe nini hasa kilicho mpelekea kufikia hatuwa hiyo, ni mapema watu kuanza kumshuku amekuwa (Jirani)watu wa nchi za magharibi wanamsemo unaosema (utasema vipi jambo au kitu hukipendi kabla hujakijaribu? wakiendea zaidi kwa kusema (You have to try everything once) binafsi nimuonavyo sifikiri kama amekuwa na hisia za ujirani all this time lakini binadamu anasiri nyingi moyoni hapa haieleweki kama ndio anajaribu to come out in that way 2 get where he want to be known.Dunia yako, Chaguo lako, Chagua kuwa.......
View attachment 50026
Boflooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
Huu ndo ujio wa Cameroon