chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Kuna jamaa alitokea kumpenda demu mzuri cna,huyo msichana kila wakipanga waka do,anasema,iwe usiku,huyo man akawa anashangaa mbona mchana hataki?,kuna nini?.siku hiyo usiku akamvizia,akasema wakianza tu,atawasha taa amuangalie,haiwezekan galfriend wangu halafu hataki nimuone jinsi alivyo,wakati kwa muonekano wa nje yuko bomba.ilikuwa jumapil siku hiyo,saa tatu usiku,kijana kama kawaida anazima taa,masharti ya mpenzi wake,wamemaliza romance tu,kabla ya mashambuliz kuanza jamaa akawasha taa,USITAKE JUA alichokiona.