Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
ingekuwa wezi wote wa waume za watu wanakuwa chizi hadi
mke wa alieloga angekuwa chizi nae. hio ajali kazini.
Kwahiyo na wewe hua unaiba waume za watu? Huogopi kumwagiwa maji ya moto?
ingekuwa wezi wote wa waume za watu wanakuwa chizi hadi
mke wa alieloga angekuwa chizi nae. hio ajali kazini.
sema ukweli biggirl,nahisi kuna mtu humu jf anasarandia mali zako unataka umtishe,au?
aisee acheni tu haya mambo yapo believe kuna dada alikuwa anaenda mwenzini kila siku mpaka kwenda kumpigia magoti mama wa kizaramo
Kwa ufupi uku kwetu uswahilini jina nahifadhi kulikuluwa na baba la kihaya la haja watoto walisoma st Mary's enzi hizo wote wanne yani alikuwa na fuba si unajua sisi tukishachezwa sijui miemuko inazidi basi libaba likavamia binti na binti akakubali jamaa likasahau mpaka ada za watoto watoto wakafukuzwa na kurudi shule za serikali mama mwenye mume si akamuendea bagamoyo dah binti alikuwa atoki ndani tangu siku ya kufahamu hayo sikwenda kusuka kwa yule mama nilimuogopa sana mama mzazi wa binti na binti wakaenda omba msamaha bahati mbaya mama kagoma sijui kilichofata maana nilihamishwa mkoa sikufatilia zaidi
swali hv ni kutojiamini , tamaa , roho mchafu anayetupelekea kuchua mume wa mtu kama hajui sawa lakini wengine tunajua lakini bado ....ee Mungu nipe wangu loh ingawa nakaribiaa menopose kwa mbali dah
NATA shogaangu ndo kawa chizi hivi tunavyoongea babake kaja kumchukua wanampeleka kwao kanda ya ziwa huyo mwenye mume anaishi mtaani kwetu.sina mazoea naye kivilee ntaanzaje?
Hayo yalimkuta class mate wetu o'level miaka ya mwanzo mwa 90. Alikuwa na viela huyo mdada kuteketeza laki kwa siku kwenye vipodozi kwake haikuwa tabu; miaka hiyo laki pesa. Tukaja kuzinasa kuwa anatembea na baba jirani yao na ni baba wa rafiki yake (umri wa kumzaa). Tukamaliza o level fresh; baada ya kama mwaka nikaja sikia dada kachizika. Wanavyosema yule mama jirani alimfata akamuuliza "unatembea na mume wangu" dada kakataa kata kata; akamwambia sasa tutaona mjanja nani.
Nasikia ndugu zake walikuja kupata dawa baada ya kumpeleka mikoa yote inayoaminika kwa uganga. Lakini nilikuja kumuona amechakaa mbaya si unajua mtu akiwa chizi hawezi tena kuwa normal; sad enough alikuwa very bright lakini kwa kuwa alikuwa chizi hakuendelea na shule.
Wanawake ambao mume kwao ni kila kitu wanaloga aisee ukiingia kwenye kumi na nane zao; maana wakiachika wataenda wapi. Mume ndo kila kitu including ajira.
Maana kama kuloga kungekuwa kunafanya kazi, hii nchi ingejaa vichaa
DERICK2000: Usiseme mwanamke amepata ndoa kwa bahati :hiyo si bahati ikiwa their love was pure and naturally sababu kumbuka huyo mumewe ndio ubavu wake na hakuna alikoahidiwa ubavu wa pili(watakuwa mwili mmoja)kosa ni hilo kuchizisha kwa uchawi lakini kulinda ndoa ni haki ya kila mwanamke
Hivi ule usemi wa sikio la kufa halisikii dawa nadhani hapa inaweza kuwa quoted lol
wabongo wanapenda sana kula vya watu....juzi kati tu huko kenya kuna jamaa kanasa kwa my waifuu wa mwenzake
Halafu we biggirl: Yaelekea si rafiki mwema, kwani inaonekana unashabikia yaliyomkuta shogaako badala ya kusikiika.
Wewe si rafiki mzuri kabisa!
Ataloga wangapi?angemloga huyo huyo mumewe ili aache umalaya:angry:
Wanajf,mimi nina rafiki yangu mmoja alikuwa na tabia ya kuiba waume za watu nimemkanya mara nyingi lakini akawa hanisikii sasa kakutana na kiboko yake kafanywa chizi kabisa anakimbia ovyo mitaani ,namhurumia ila sina cha kufanya .wadau mnaojihusisha na hii mambo nawashauri acheni!!!!!!!!
Acha kuwatisha wenzio wewe...
Inaonekana unamlinda mmeo kwa kutoa vitisho kwa wanaJF...
Umehisi anammega __________ hapa nini?
Ila kasema ameacha...