BABA JUICE
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 426
- 52
Hayo ni maneno matamu ya makampuni mengi ya simu hapa nchini. nimetafakari kwa muda je watanzania waliowengi wanafaidika vipi na promosheni hizi za simu au ndio kuzidi kutiana umaskini...wewe unamjua yupi ambae kashinda!ndio wapo sikatai lakini je kuna uhalisia wowote kati ya wanocheza na wanaoshinda! hawa jamaa wapo kibiashara zaidi na kama mtanzania ninae ona mbali nakufumbua macho....makampuni mengi ya simu yapo kibiashara zaidi na wewe ndio unawapa kula. this people are are making alot of money...na hii serikali ya mapimbi imekaa tu kwani kuna ukwepaji wa kodi wa hali ya juu...kuna hii kampuni ambayo kuna baadhi ya viongozi wa serikali wanao hisa...hii kampuni bwana inakwepa kodi sana....ipo siku utasikia mambo yameharibika its a matter of time...enron...moderator usifute thread yangu coz unazaminiwa na kampuni ya simu.....uninafsi nyuma utaifa mbele. TUJENGE PAMOJA.