- Thread starter
- #21
Huyu mzee achana naye siku zake zi karibu , si amemwona mzee mwenzake alivyopewa heshima kwenye kifo chake ,naye anabembeleza hili itakapofika time apelekwe kule jubelee ,hivi huyumzee bado anazo akili
Halafu huyu Mzee majibu na mambo anayofanya hana tofauti na Mabumba yule Mkiti wa bunge.