Chetuntu pole kwa safari.

Chetuntu pole kwa safari ndefu najua umechoka nakutakia safari njema huko uendako ufike salama ucsahau ukifika wasalimie.pia ucsahau kunijulisha kama umefika salama.

So what? As Mwalimu said, "..Upumbavu ni Kipaji.."
 
Chetuntu pole kwa safari ndefu najua umechoka nakutakia safari njema huko uendako ufike salama ucsahau ukifika wasalimie.pia ucsahau kunijulisha kama umefika salama.

Habari gani KOKUDO!!!!
 
Dah! Mi kesho nitaondoka. Kokudo niandalie maneno mazuri ya kuniaga. Sawa eeh?
Nitakuletea pipi na karanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom