Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
Wakubwa, hivi certificate ikichanika , mtu anaweza kufanya nini ili apate mpya? je, anaweza kupeleka ile iliyochanika akapata nyingine, na je chukulia mfano umeibiwa begi lenye vyeti vyote, au nyumba imeungua, ndo degree yako imeondoka hivihivi au vipi, kuna uwezekano kupata kipya? how...
nimeulizwa swali hili na mtu nikashindwa kumjibu kwa uhakika. naomba wenye uelewa mzuri na hili waeleze hapa kwa faida ya wengi. asante.
nimeulizwa swali hili na mtu nikashindwa kumjibu kwa uhakika. naomba wenye uelewa mzuri na hili waeleze hapa kwa faida ya wengi. asante.