Vivian kumegana kuna raha yake acha tu,naona unataka kuongeza manjonjo ya kiuno.
Mtoto anamegwa hadi anaanza kuimba ghafla tu kiuno,kiuno kanipa mama kiuno kiuno,unamuuliza vipi hata la kujibu ana,anabaki anashangaa shangaa tu,huku akiendelea kuimba.acha kabisa aya mambo mhhhhhhhhhh.
Why do you say That Hommie? Si unajua tena tunapandaga wote Meridian
hahahaa...mi napandaga NBS kama unayafahamu....ila sasa itabidi tufanye mchakato...
ngashoka....... uleva kyasaka?Washoka kiki msasha?
Jamani natafuta hii cheni,
Ni duka gani hapa Sinza naweza pata hii Cheni jamani.
Natanguliza shukrani na ninawatakia weekend njema madadiito na mamito!!!
Mdogo wangu, achana na mambo ya Sinza; njoo huku kwetu mjini Namanyere kuna sonara mzuri tu ana anakuchongea mkufu, anauzindika na dawa ya hapa mjini, mtu hawezi kuuiba, zindiko linaufanya unakuwa mzito tani moja, hawezi kuuchukua. Wasemaje???
Yee tweenda na wakati, vatashetuseka......Sikuhisi Vashaka Tweenda na Wakati Lau.
Na vengi veamba mwelala sha msoma magaseti......Samani vaeli tulaha ''Migomba''
na wewe umeonaae!!!
Usikonde, mikufu midogo ipo tele hapa namanyere (Rukwa); na zindiko la chain isiibiwe, ni option tu, usikwazike na utamaduni wa huku!!!View attachment 36055