Diana-DaboDiff
JF-Expert Member
- Jul 13, 2009
- 376
- 19
Kuna hesabu mbili tofauti hapo 25m na 25b ipi sahihi?
25 bil ndiyo sahihi.Kuna hesabu mbili tofauti hapo 25m na 25b ipi sahihi?
Reasonable presumption cannot ascribe any other source other than your bank for the disclosure of the information. No stranger from outside the bank could have compiled such a long and accurate list, the minister states.
Mkuu hapa tupo pamaja. Hili ndilo lilipaswa kufanyika. Nahakika AC hana maelezo ya vyanzo vya fedha alizonazo zaidi ya wizi. Yaani kuna vitu vingine viko wazi mno kiasi ambacho mtu huhitaji nguvu nyingi kufikiri na kujua kinachoendelea. Kwa ujumla huwa nakosa majibu ya maswali yafuatayo:-
1. Ni kwa nini basi mtu huju hachukuliwi hatua za kisheria?.
2. Je ni picha gani serikali inawapa wananchi wake kwa kuendelea kukaa kimya?.
3. Uko wapi utawala bora?
Hapa Chenge ana kazi ya kufanya. Vipi kama alipewa bank statement na hakuiweka vizuri? Na vipi kama ATM card yake anashare na mtu mwingine? vipi kama walipewa watu wa usalama au SFO na wao wakavujisha?