Chenge, StarTV na Utaalam wa kisasa

Mzee I am sure you know that Chenge was the AG for 12 years. AGs sit in the front seats alongside the PM and Chief Whip. He was never a backbencher. Again, in 2006 he was immediately appointed a Minister. He resigned just before this parliament, so it is understandable that he never sat in the backbench before this Bunge session. So we can give him the benefit of doubt. You asked why he was at the Bunge Hall at some minutes past 8? Well, Bunge sessions end at few minutes before 8, so when would he be there in private? it must be after 8!! My request is to leave the team charged with investigation to come out with their report.

I hear that Chenge went to the parliament at 8:30 a.m and not 8:30p.m. to look for his sit when the session begins. Please be reminded that, every MP has his own sit the House.

Personally, I do not think that Chenge would do a thing like that, especially in the company of a Bunge official. This man is a highly learned personality despite all that is said about him. He is a laywer by proffession and a great thinker apart from being a grown up person. It would be extremely stupid for a person like him to do so in a broad daylight. Politics is really dirty at times.

I believe there something really wrong in the House and is probably linked to political inclinations. God Bless our Parliament, God Bless Tanzania and her people. We need to pray.
 
I hear that Chenge went to the parliament at 8:30 a.m and not 8:30p.m. to look for his sit when the session begins. Please be reminded that, every MP has his own sit the House.

Personally, I do not think that Chenge would do a thing like that, especially in the company of a Bunge official. This man is a highly learned personality despite all that is said about him. He is a laywer by proffession and a great thinker apart from being a grown up person. It would be extremely stupid for a person like him to do so in a broad daylight. Politics is really dirty at times.

I believe there something really wrong in the House and is probably linked to political inclinations. God Bless our Parliament, God Bless Tanzania and her people. We need to pray.

I agree with you entirely! Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Chenge may be "mfisadi" but the voodoo allegations have been blown out of proportion. he has not been in talking terms with the Speaker which adds to the possibility that Sitta (revengeful as he is) is trying to tarnish the former AG, who was a senior officer when Sitta was a Minister for Justice. I was told by an insider that Chenge was the reason for Sitta moving out of the ministry. Moreover, when Sitta thought he was to be picked as the AG, Chenge was picked instead! So ther are a myriad of reasons that tend to sufggest that these voodoo/witchcraft allegations are fallacious!
 
we would have believed that he was looking for a seat if nothing was thrown about the bunge.
what is the relation between looking for a seat and throwing unga unga to the seats he was passing?
 
we would have believed that he was looking for a seat if nothing was thrown about the bunge.
what is the relation between looking for a seat and throwing unga unga to the seats he was passing?

Mkuu umeona hilo likitendeka! What purpose do you think ilikuwa inaserve kumwaga unga?
 
......... he has not been in talking terms with the Speaker which adds to the possibility that Sitta (revengeful as he is) is trying to tarnish the former AG, who was a senior officer when Sitta was a Minister for Justice. I was told by an insider that Chenge was the reason for Sitta moving out of the ministry. Moreover, when Sitta thought he was to be picked as the AG, Chenge was picked instead! So ther are a myriad of reasons that tend to sufggest that these voodoo/witchcraft allegations are fallacious!

Please substantiate the above, otherwise, you want us to believe 'hisia zako' za justify your words.
 
If Tanzanians continue to believe in these things at the 21st century, I am sure we will continue suffering and swimming in poverty. Chenge might be corrupt, but this is a highly educated Harvad Law Graduate! He was the AG of this country for 12 year and a long standing lawyer for that matter. Why cant we believe that he was actually trying to find a place to seat in the back bench! Sagasii has been tipped to become the next Clerk of the National Assembly, he cannot allow himself to be used in voodoo activities. Guys, why cant we burry this affair and discuss the most pertinent issues of our nation???
unaota kweupeeeeeeeeeeeeeeeeeee..... peeeeeeeee..
 
Please substantiate the above, otherwise, you want us to believe 'hisia zako' za justify your words.

Boma, there is nothing to justify! You can take my word as hisia tu, and that will not make me swallow my reasoning.
 
sikumuona akirusha huo unga, kaonekanwa na sitta pamoja na camera za ndani ya bunge kwa mujibu wa maneno ya sita.
na unga huo sasa upo polisi unafanyiwa uchunguzi kwa ujibu wa habari kutoka polisi
 
sikumuona akirusha huo unga, kaonekanwa na sitta pamoja na camera za ndani ya bunge kwa mujibu wa maneno ya sita.
na unga huo sasa upo polisi unafanyiwa uchunguzi kwa ujibu wa habari kutoka polisi

Kama kweli ni uchawi watagundua nini! Si wanaweza kuishia kusema ni unga wa mahindi/mtama au uwele! Guys, I think the whole thing is nonsensical! lakini tusubiri tuone mwisho wake.
 
nakubaliana na wewe the whole thing ni upuuzi.......kuanzia mbunge kufanya ushirikina bungeni, mpaka hizo dawa za mitishamba kwenda kuchunguzwa polisi.
lakini kwa vile nchi haiamini juju wacha polisi wachunguze ili conspiracy moja ya kusema ilikuwa ni sumu ipate kwisha.
 
nakubaliana na wewe the whole thing ni upuuzi.......kuanzia mbunge kufanya ushirikina bungeni, mpaka hizo dawa za mitishamba kwenda kuchunguzwa polisi.
lakini kwa vile nchi haiamini juju wacha polisi wachunguze ili conspiracy moja ya kusema ilikuwa ni sumu ipate kwisha.

Sidhani kama kuna cha kuchunguza! Ni kupoteza raslimali za nchi na muda wao. Kuna vitu muhimu vya kuchunguza ambavyo vina maslahi kwa nchi na siyo upuuzi wa wanasiasa na watu wenye chuki binafsi kati yao. Unajua kuna mtu mmoja anayeamini katika masuala ya uchawi alianiambia kuwa Bungeni ushirikina upo sana na usione watu wamo mle ndani wakiwa wamevaa suti zao. Baadhi yao wanaingia uchi wa mnyama lakini hatuwezi kuona kwa maana wanatumia nguvu za giza. I told him off. Yaani nguvu za giza zisababishe nguo ionekane hata kwenye picha! That is nonsense. Hii ya Chenge naiona kama mwendelezo wa upuuzi huo huo.
 
Spika apuuza tuhuma za Chenge dhidi yake

Mwananchi
6/23/2008
Muhibu Said


SPIKA wa Bunge, Samuel Sitta, amesema shutuma zilizotolewa na Mbunge wa Bariadi Magharibi (CCM), Andrew Chenge dhidi yake hivi karibuni, amewaachia Wabunge kuchukua maamuzi watakayoona yanafaa.

Akizungumza na mwandishi wa Mwananchi jana, Spika Sitta, alisema yeye binafsi hashughulishwi na shutuma hizo na kwamba, ameona kuwa ni busara kuzipuuza.

"Haitatokea maishani mwangu kucheka kama nilivyotuhumiwa na Chenge. Na kama itatokea hivyo, basi sifai kuwa Spika," alisema Sitta alipozungumza na mwandishi kwa njia ya simu.

Kauli hiyo ya Sitta, imetolewa siku chache baada ya Chenge, kukaririwa na baadhi ya vyombo vya habari akidai kwamba, ni hatari kuongozwa na Spika mzushi kama Sitta na kuahidi kumshughulikia katika mamlaka mojawapo kati ya Chama, Bunge au Mahakama.

Chenge alitoa shutuma hizo akidai kwamba, Spika Sitta alimhusisha na mauzauza yaliyotokea bungeni hivi karibuni ambako mtu ambaye hajafahamika anadaiwa kuweka unga unga kwa nia ya kumdhuru mbaya wake.

"Zilivuma taarifa kuwa mtu huyo ni mweupe kwa rangi. Waandishi wakamuuliza ni Lowassa? Akajibu hapana. Wakamuuliza ni Abood, akasema hapana. Wakamuuliza ni Chenge, akacheka eh hee hee. Unadhani wataelewa nini hapo?," Chenge alikaririwa akisema.

Hata hivyo, Spika Sitta, aliwataka wananchi kuwauliza wabunge kama anao uwezo wa kuongoza Bunge au la.

Kuhusu matokeo ya uchunguzi wa unga unga huo, Spika Sitta alisema anaviachia vyombo vya usalama kutangaza mara uchaguzi huo utakapokamilika.
 
Spika apuuza tuhuma za Chenge dhidi yake

Mwananchi
6/23/2008
Muhibu Said


"Zilivuma taarifa kuwa mtu huyo ni mweupe kwa rangi. Waandishi wakamuuliza ni Lowassa? Akajibu hapana. Wakamuuliza ni Abood, akasema hapana. Wakamuuliza ni Chenge, akacheka eh hee hee. Unadhani wataelewa nini hapo?," Chenge alikaririwa akisema.

Hii kali kweli kweli, Sitta ongeza speed tu. Chenge anataka kukimbia ukweli
 
Masatu, rejea mtundiko wako hapo juu ukijibu mtundiko wa Enigma.

Bila kuchagua upande, ni vizuri uelewe tu namna jengo la bunge linavyofanya kazi.

Wabunge na wageni wana muda maalum wa kuingia kwenye ukumbi mkuu wa mijadala wa bunge. Wafanyakazi wa bunge (si wote) na waandishi (pia si wote), wanaruhusiwa kuwa maeneo kadhaa ya ukumbi mkuu hata kama huo si muda wa wabunge na wageni kuwepo. Waandishi wengi huwa wanakuwa kwenye media room inayoangalia ukumbi kwa chini, aidha wakimalizia reports zao au wakikamilisha kutuma reports kwenye vituo vyao vya kazi. Ni nadra sana kuwakuta wabunge ndani ya ukumbi baada ya milango mikuu kufungwa, ila ni rahisi sana kuwaona waandishi na wapiga picha katika maeneo ya juu yanayozunguka ukumbi (siyo ndani ya ukumbi wenyewe) hadi usiku sana.

Kinachoshangaza ni kwa nini (kama kweli) Chenge aliachiwa akaingia peke yake? Kawaida wabunge wakisahau vitu ndani, na inatokea mara nyingi sana, aidha ataingia mbunge na ushers au ataingia usher na kumletea mbunge vitu alivyosahau. Nimeona pia mara kadhaa wabunge wakiwatuma madereva kurudi na kuchukua vitu walivyosahau ndani, na ni ushers ambao huingia na kuleta.

Nadhani hiyo ya Chenge (kama ni kweli) itakuwa tu ni 'za mwizi ni arobaini..' kama hata watu wa TV walikuwa hawajamaliza kazi zao na cameras zilikuwa bado ON. Security cameras ziko ON masaa 24, na labda 'mtu' alipitiwa kwa hilo.

.........
 
Mbunge wa Bariadi Magharibi Bw. Andrew Chenge ameanza kuandamwa na tetesi nyingine za mambo ambayo endapo yatamnasa kweli basi itakuwa vigumu kwake hata kuendelea na Ubunge wake.

Vyanzo vya kuaminika vimethibitisha kuwa siku ya Jumanne baada ya kikao cha wabunge wa CCM Bw. Chenge aliomba udhuru wa kurudi ndani ya ukumbi wa Bunge ambao ulikuwa tayari umefungwa. Alifunguliwa na Afisa mmoja wa Bunge ili kwenda kuchukua/kufanya alichotaka kwa dakika chache.

Seti mbili za Kamera ziliweza kumnasa akijongelea eneo la kiti cha Spika na baadhi ya wabunge ambao majina yao yote tunayo na ambao walishiriki kwa namna moja au nyingine katika kuanguka na kuvunjika kwa serikali ya Waziri Mkuu Lowassa.

Mojawapo ya seti za Kamera ni zile za Star TV na zile za Usalama wa Bunge. Inadaiwa nakala za tukio hilo tayari lilikopiwa na "wajanja" kabla ya kutoa taarifa kwa uongozi wa Bunge ambao inasemekana wamechukua nakala originals za tukio hilo ili kupitia na kuona nini kimefanyika.

Kukumbushwa kwa tukio hili kumekuja hasa baada ya mmoja wa wabunge ambao inadaiwa Bw. Chenge aliwatembelea "kupangusa" viti vyao Dr. Harrison kuugua kwa ghafla. Hata hivyo haijulikani kama kuugua kwa Mwakyembe kuna uhusiano wowote ule na "movements" za Chenge siku mbili zilizopita.
Sasa hivi Dr. Mwakyembe anapumzika nyumbani.

Japo yawezekana kuwa jambo hili hili halina lolote lakini mlolongo wa matukio kadhaa katika historia ya Tanzania yamekuwa yakiwafanya watu wengi kuwa na wasiwasi sana kuhusu maisha ya wale wanaoonekana kuwajali na kuwatetea na hivyo tetesi zozote za "mkono wa mtu" zinasumbua kweli.

Kuna kila dalili jambo hili litafahamika masaa machache yajayo kwani inadaiwa kuwa hata kama ni kweli imetokea serikali haiko tayari kuona mmoja wa wabunge anahusishwa na kitu chochote ambacho kimsingi kinaendana na mambo ya uhalifu. Uongozi wa Bunge inadaiwa wanalifuatilia jambo hili kwa kina ili kuwa kujua ukweli ni upi.

Hata hivyo, yaonekana wazi kuna suala zima la chenge, Star TV na Utaalamu mambo leo ambao wengi wanaufikiria ni "ushirikina" kumbe ni sayansi ya kisasa ya kushughulikia watu.

Hizi ni Hadithi za Abunuasi (HHA).
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom