Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
say whaaattt... yaani hadi waandike magazetini ndio tunaweza kuona ni habari.. JF tujiamini jamani.....
Ni mpaka Mkuu Kinepi alipopiga simu kuuliza swali husika: Je, umeuona mwili wa marehemu? Hiyo ndio ishu! Ni investigation ya Kinepi ndio inatuambia padre anasema "mimi ndio niliombea nilichoambiwa kwamba ni maiti." Ukisikiliza kwa makini kinachosemwa hapa, ni kwamba Padre anakubaliana na sisi, kwamba jamani eeeeh! God knows what was inside that big box! I may be a Priest, but I can't see thru wood, and I couldn't tell ya!
Ha ha ha aaaaaaaaa ........ This is just hilarious!
Kinepi, babu kubwa mtu wangu! LOL!
I believe that most conspiracy theories are simply absurd. The idea that Anna Muganda has feigned his husband's death, that she planted a phantom body in the casket and took it to church, and lied to her friends and Government officials about all this thing, I think is extremely far-fetched, if not preposterous. I just don't fall for such home-made "dataz" without sensible substantiation.
Kuhani Mkuu yuko wapi jamani, naona leo hii atakuwa na deni kubwa kwa Enigma.....
Niko ndugu yangu, naangalia kule jinsi the perspicacious Pundit anavyo kataa kiume kukubali kwamba hoja zake are too complicated for Jamii Forums,
Kwanza mi nasikitika vibaya mno nimeanza kusifiwa sifiwa hapa JF. Inaninyima uhuru! Sitaki kasifa wala ka status hapa JF. Nilisema toka mwanzo sikubali kiutamaduni wala ki pecking order cha hapa.
Field Marshall ES : JF Senior & Premium Member Join Date: Wed Apr 2006
Re: Chenge, StarTV na Utaalam wa kisasa
Mkuu Wangu Enigma,
Heshima mbele bro, sasa lete more dataz maana kuna tunaofuatilia na tunajua kuwa zina ukweli mtupu, tena 100%, weka vitu mwanangu!
Lakini tulikuwa tumenyamaza kwanza ili tuwape mabingwa wetu wa uchambuzi nafasi kwanza hapa naona wamemaliza tayari sasa weka vitu, Lete vitu mwanangu, letaaa dataz!
Mkuu Painkiller,
Heshima mbele bro, I got you kwamba umefuta some of my comments ambazo hazikuwa matusi, sasa ninashukur kwamba ukefanya hivyo mbele ya this public na hata siku moja siwezi kulalamika ninaamini umefanya hivyo kwa kujali masilahi ya JF,
Lakini ninakutahadharisha tu kuwa, kesho na keshokutwa utakapofuta ya hao watu, kusiwe na kilio cha kwamba kuna watu wenye nguvu hapa JF maana hiki kitendo chako ambacho ninakifurahia sana ni mfano tosha kuwa wote hapa tuko sawa hakuna mwenye nguvu kuliko mwingine! Maana ni jana tu tumesikia hivi vilio, yote uliyofuta sijamtusi mtu ila nilikuwa nina-expose unafiki tu wa mtu mmoja kutumia majina mengi kudanganya watu hapa, that was my point!
Otherwise, tunaendelee kukata ishus, respect mbele!
Imeeleweka Kamanda!Heshima mbele kwa wakuu wote hapa JF, naomba kuweka wazi na mapema kuwa huyu bwana anayejiita jina kama langu sio mimi, naona ameamua kujiiita field marshall, lakini mimi ninaitwa Field Marshall Es,
Ninajua tayari ni nani huyu na sababu zake nazijua tayari, lakini sina noma ila ni lazima niweke wazi hapa kuwa mimi sio yeye, maana mimi sina huo mchezo wa kuingia na ID zaidi ya moja, na sikuhusiki in anyway na any responsibility ya maoni au mawazo yake,
na ninamuomba aelewe kuwa jina langu la FMES ni pamoja na biashara behind it sasa sio jina tu ni signature kubwa sana na I have worked so hard kulifikisha lilipo, hapa JF huwa ninajitolea bure, lakini sio nje ya hapa, nilitaka tu hilo lieleweke wazi kwa wakuu wote hapa maana naona ndio kwanza ana post moja, ni vyema kufahamishana mapema, na ninamtakia mafankio mema hapa ndani ya JF!
Ahsante Wakuu!
Heshima mbele kwa wakuu wote hapa JF, naomba kuweka wazi na mapema kuwa huyu bwana anayejiita jina kama langu sio mimi, naona ameamua kujiiita field marshall, lakini mimi ninaitwa Field Marshall Es,
Ninajua tayari ni nani huyu na sababu zake nazijua tayari, lakini sina noma ila ni lazima niweke wazi hapa kuwa mimi sio yeye, maana mimi sina huo mchezo wa kuingia na ID zaidi ya moja, na sikuhusiki in anyway na any responsibility ya maoni au mawazo yake,
na ninamuomba aelewe kuwa jina langu la FMES ni pamoja na biashara behind it sasa sio jina tu ni signature kubwa sana na I have worked so hard kulifikisha lilipo, hapa JF huwa ninajitolea bure, lakini sio nje ya hapa, nilitaka tu hilo lieleweke wazi kwa wakuu wote hapa maana naona ndio kwanza ana post moja, ni vyema kufahamishana mapema, na ninamtakia mafankio mema hapa ndani ya JF!
Ahsante Wakuu!
Heshima mbele kwa wakuu wote hapa JF, naomba kuweka wazi na mapema kuwa huyu bwana anayejiita jina kama langu sio mimi, naona ameamua kujiiita field marshall, lakini mimi ninaitwa Field Marshall Es,
Ninajua tayari ni nani huyu na sababu zake nazijua tayari, lakini sina noma ila ni lazima niweke wazi hapa kuwa mimi sio yeye, maana mimi sina huo mchezo wa kuingia na ID zaidi ya moja, na sikuhusiki in anyway na any responsibility ya maoni au mawazo yake,
na ninamuomba aelewe kuwa jina langu la FMES ni pamoja na biashara behind it sasa sio jina tu ni signature kubwa sana na I have worked so hard kulifikisha lilipo, hapa JF huwa ninajitolea bure, lakini sio nje ya hapa, nilitaka tu hilo lieleweke wazi kwa wakuu wote hapa maana naona ndio kwanza ana post moja, ni vyema kufahamishana mapema, na ninamtakia mafankio mema hapa ndani ya JF!
Ahsante Wakuu!
Kwa nini nawewe usilete habari zako kama unazo? makelele mengi tu na hakuna kitu unafanya. Wewe unasema kuwa Chenge ni fisadi? una hakika na hili?