Laki saba alikuwa nazo kwenye mfuko wa shati tu kwake wala hazifai kuwa kwenye pochi ni chenji iliyobaki kwenye vitumbua vya asubuhi.jamaa kalipa laki saba.......
Laki saba alikuwa nazo kwenye mfuko wa shati tu kwake wala hazifai kuwa kwenye pochi ni chenji iliyobaki kwenye vitumbua vya asubuhi.jamaa kalipa laki saba.......
Usiharakishe kumsafisha anayo makosa mengi........matatu.........hivi..........................moja kuua bila ya kukusudia.....................kuendesha gari bila ya bima kwa zaidi ya miaka mitatu.....na la tatu..............kusababisha ajali ya gari..............
sasa haya yote adhabu yake ni faini tu?
Si kila kosa lilipaswa hukumu yake? Hawezi kuendelea kuwa Mbunge kama atakubali kulipa faini hiyo kwa sababu atakuwa amekubali kutumikia kifungo cha miaka mitatu ambayo ni sawa na hiyo faini aliyolipa......................................
Ubunge ni kwa wale tu ambao hawajawahi kutumikia vifungo vya zaidi mwaka mmoja.........hiyo mitatu ......it is over 4 him......labda akakate rufani
Mkuu fafanua, sheria inasemaje? Je, suala la mtu anayefungwa zaidi ya miezi sita anapoteza sifa ya kuwa kiongozi inakuwaje hapa? Au mpaka akae jela? Kuna watu wanasema "HUKUMU" inatosha hata kama atalipa faini lakini amehukumiwa zaidi ya miezi sita ni kigezo tosha cha nafasi kuwa wazi.Bariadi wana mbunge batili!
..................
Simtetei huyu mzee wa vijisenti, ila nashangaa Wadanganyika tulivyokuwa tumekomalia tukidhani kuna la maana out of that case. Muhimu tukomae afikishwe mahakamani kwa tuhuma za kula rushwa kwenye RADAR,pale tunaweza kupata chochote maana rushwa kifungo likely zaidi kama mtu atakutwa na hatia.
hhahahaha
miaka mitatu haina thamani ya hizo laki 7
Chenge ametiwa hatiani kwa makosa manne ya Kusababisha vifo vya wasichana wawili, Kugonga Bajaji, Kuendesha gari kwa uzembe na kuendesha gari isiyokuwa na Bima. Makosa yote hayo amepigwa faini ya shilingi za Kitanzania laki saba! (700,000/=) na amelipa
Source: Global Publisher
Jamani naomba kuuliza wadau ina maana hawa watu ni OUTLAWS au? Mana kwakweli ni jambo lisiloingia akili kuona mtu ana makosa yote hayo analipa faini tu.
Ila kuna watu wakitenda makosa hata madogo zaidi ya haya wanafungwa miaka na miaka jela. Mfano yule dereva wa chacha wangwe na hawa madereva wa mabasi ya abiria wanao fungwa kila siku kwa kuendesha kwa uzembe na kusababisha ajili. Ila huyu anaachiwa kwa kulipa faini.
Haya ndo mambo ya kina mkapa na madudu yake yote tunaogopa kumshitaki, mambo ya kina rostam aziz na kagoda na deep green tunashindwa kumshitaki. Me nadhan kile kipengele cha kusema kua kua everyone is under the law katika katiba kifutwe tu,ijulikane kuna watu wengine ni outlaws