wewe acha tu mwaka huu raha tu hata tusipopata huo urais poa wataipata bungeni halafu tumechukua sehemu nyeti yaani zile centre mfano Arusha, Moshi,Mbeya mjini, Ilemela,Musoma......Chenge kabanwa koo na hataki kusign matokeo ya ubunge:sad:
Nguli Heshima mbele mkuu,
Umenifanya nikapiga kelele ya " wera wera weraaaa!!!!!!" mpaka watu wakadhani nimechizika.
Itakuwa safi sana kama huyu jamaa kapigwa chini, mungu mkubwa.
Wao wanapesa sisi tunamungu
Pesa Vs Mungu.
These are the rotten folks napenda tupige chini kwa nguvu zote. Jamaa mchafu ile mbaya. Nashangaa hana hata haibu ya kuomba ubunge tena. Duh. Yataka moyo!
du hujasahau tu kamanda!!!!umenikumbusha mbaaali!!!mnashangilia nini? sasa kazi ya kunyunyuzia vitu kwenye meza za watu ataifanya nanai? bora aende..mshirikina huyo!
Chenge kabanwa koo na hataki kusign matokeo ya ubunge:sad: