nguluvisonzo
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 515
- 71
Taarifa ya kujisafisha kwako bado inawalakini sisi watanzania ili uwe msafi pamoja na yote na taarifa kuwa ushaidi umeshindwa kubaini kama ulihusika,tunachohitaji ni kupata taarifa kamili ya kipato chako ulipokuwa mtumishi wa umma,matumizi yako,mali zako ulizonazo katika hayo yote pamoja na mapato mengine halali,Je ulikuwa na uwezo wa kuweka ziada ya vijisenti vyoko hivyo kisiwani na kwa nini usiweke hapa kwenu?usipo fafanua kwa kina bado wewe si msafi kabisa.