Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Mods, mukiona inafaa muiunganishe na thread ile kuu.
waendesha mashitaka leo wameongeza shitaka la kuendesha gari lisilokuwa na bima katika mashitaka yanayomkabili Chenge kwenye ile kesi yake ya kuua watu wawili aliowagonga katika Bajaj.
Pia, Majid Gharib, yule mmiliki wa bajaj ambaye alikimbia, naye ameongezwa kwenye kesi hiyo
waendesha mashitaka leo wameongeza shitaka la kuendesha gari lisilokuwa na bima katika mashitaka yanayomkabili Chenge kwenye ile kesi yake ya kuua watu wawili aliowagonga katika Bajaj.
Pia, Majid Gharib, yule mmiliki wa bajaj ambaye alikimbia, naye ameongezwa kwenye kesi hiyo