Chenge aiponza BoT

Sioni vimefanana vipi.

Kutokana na article, Chenge ameiponza vipi BoT?

Mimi nimeripoti kutoka maneno ya Mkapa mwenyewe as it was said. Tena ngoja niwaombe ITV huo mkanda. At a small price wanakutumia.

Sasa wewe kama una evidence tofauti na hii, itakuwa poa sana. Maana haya maneno yake, yalisababisha hadi Tanzania kufutiwa deni (ingawa am sure tumejiingiza mkenge sehemu nyingine e.g madini etc). Maneno yake haya ndo yalimfanya apewe imani na viongozi wa nje ulaya, na hadi Sharon Stone akatoa mchango wa $10K kwa neti za mbu in promptuu pale Davos 2005, akasema na 'President Mkapa needs help today'.

Scroll hadi dakika ya 52

Ukitaka kuona hapa;
Mkapa Begging For Money For Poor Tanzania

Angalia Mkapa anavyochekelea. Sasa wewe mtu mwenye roho nzuri kama Mkapa anaweza akaweka hela nje ya Tanzania? What evidence do you have otherwise?

Ina maana kadanganya hadi mrembo Sharon Stone?
Kuna watu wanatoa pesa zao kwa roho nzuri, sasa wakijua ziko diverted? Huyu huyu Sharon Stone katoa mpya juzi kuhusu China. Je kibao kikigeuziwa bongo na Africa?

Kama una evidence mimi nitaenda pale Parliament Square nipige rent free camping (Conditions apply, offer stands only during summer time with bikinis passing by. Offer may be withdrawn without notice!!).
BrianHaw.jpg
Huu usanii ndiyo umetufikisha tulipo sasa.
Hatuna culture ya kutenda tunayohubiri.
It is really dangerous, na sasa ndiyo tutaziona rangi zoote, hakuna rangi ambayo hatutaiona!!
 
Back
Top Bottom