Masiko W. M.
Member
- Mar 9, 2010
- 41
- 3
mlingayo wako unakasoro.
unatakiwa uwe; y+y+y/2+y/4+1=100
where:
y=idadi ya ndege
This is the proper equestion for the problem.
mlingayo wako unakasoro.
unatakiwa uwe; y+y+y/2+y/4+1=100
where:
y=idadi ya ndege
Mkuu basi huyo mwanga anaweza kuruka Umbali wa mita nne...iwapo huyo kangaroo ni kweli ana ubabe wa kuruka mita kumi nambili...tehetehehNyingine naikumbuka kumbuka hii hapa:
"Kangaroo ni mnyama aoenekae Australia, huweza kuruka umbali wa mita kumi na mbili. Mwanga anajitapa kuwa huweza kuruka theluthi ya umbali huo. Je, huo ni umbali gani?"