Chemsha bongo maths

Mkombozi

JF-Expert Member
Feb 19, 2008
806
426
Kuna mzee mmoja alikuta kundi kubwa la ndege,akalisalimia kwa kusema,shikamooni ndege mia,ndege walipaza sauti wakisema sisi sio ndege mia,bali waje kama sisi,waje nusu yetu,waje pia robo yetu na wewe mwenyewe ili tutimie mia.Je kundi hilo la ndege lilikua na ndege wangapi?
 
Hii michemsha bongo inakichosha kichwa changu mpaka basi, ngoja niendelee kupiga hesabu nitarudi! Meanwhile nakupa mji/ kijiji cha Loliondo!
 
Jumla kuu ya mwisho itakuwa ndege 99 na mzee mmoja.issue iliyopo ni kutafuta waliokuwepo mwanzo kama ifuatavyo;xplus xplus x/2plus x/4=99,then after simplifying;8xplus 2xplus x=396;after solving,the value of x=36 ambayo ndo idadi ya ndege aliyoikuta babu.proof:walikuwepo 36 wakaja 36,wakaja 18 na wakaja 9 pamoja na babu wakaunda ndege 99 plus babu,napokea challenge.
 
Hii ilikuwa darasa la nne au la tano? Those were the days bwana!
 
Nyingine naikumbuka kumbuka hii hapa:

"Kangaroo ni mnyama aoenekae Australia, huweza kuruka umbali wa mita kumi na mbili. Mwanga anajitapa kuwa huweza kuruka theluthi ya umbali huo. Je, huo ni umbali gani?"
 
Daa kwahyo na mzee nae alikuwa ndege? Mana kuna sehem imesema na wewe ukija jumla ndo mia. Anyway jib zuri.
 
Kuna mzee mmoja alikuta kundi kubwa la ndege,akalisalimia kwa kusema,shikamooni ndege mia,ndege walipaza sauti wakisema sisi sio ndege mia,bali waje kama sisi,waje nusu yetu,waje pia robo yetu na wewe mwenyewe ili tutimie mia.Je kundi hilo la ndege lilikua na ndege wangapi?

y+1/2y+1/4y+1 = 100
7/4y=99
7y=99*4
y=(99*4)/7

ndege 56.

nimeacha desimali kwa kuwa hakuna ndege desimali.

kama nimekosa, sikubali.
 
y+1/2y+1/4y+1 = 100
7/4y=99
7y=99*4
y=(99*4)/7
ndege 56.
nimeacha desimali kwa kuwa hakuna ndege desimali.
kama nimekosa, sikubali.
good attempt mkuu,ila umekosea kidogo tu,walikuwepo ndege(y),wakaja kama wao(y),wakaja nusu yao(y/2),wakaja robo yao(y/4),hence equation itakuwa y plus y plus y/2 plus y/4=99,you can carry on buddy!
 
good attempt mkuu,ila umekosea kidogo tu,walikuwepo ndege(y),wakaja kama wao(y),wakaja nusu yao(y/2),wakaja robo yao(y/4),hence equation itakuwa y plus y plus y/2 plus y/4=99,you can carry on buddy!

nimekusoma mkuu.

hapo tena simalizii; swali limeisha; nawaachia mangwini.
 
y+1/2y+1/4y+1 = 100
7/4y=99
7y=99*4
y=(99*4)/7

ndege 56.

nimeacha desimali kwa kuwa hakuna ndege desimali.

kama nimekosa, sikubali.

mlingayo wako unakasoro.

unatakiwa uwe; y+y+y/2+y/4+1=100

where:
y=idadi ya ndege
 
Dah ingawa ni ngumu kuelewa kdogo ila nafurah kuona mahesabu yanashuka kiasi hicho wakuu
 
good attempt mkuu,ila umekosea kidogo tu,walikuwepo ndege(y),wakaja kama wao(y),wakaja nusu yao(y/2),wakaja robo yao(y/4),hence equation itakuwa y plus y plus y/2 plus y/4=99,you can carry on buddy!

hatimaye nimepata concept hapa. Ah kumbe rahisi hivi!
 
dah! Safi sana wakuu kwa mahesabu haya hata mie najiona naweza.endeleeni kuulizana maswali zaidi ili nasi tunufaike
 
Jumla kuu ya mwisho itakuwa ndege 99 na mzee mmoja.issue iliyopo ni kutafuta waliokuwepo mwanzo kama ifuatavyo;xplus xplus x/2plus x/4=99,then after simplifying;8xplus 2xplus x=396;after solving,the value of x=36 ambayo ndo idadi ya ndege aliyoikuta babu.proof:walikuwepo 36 wakaja 36,wakaja 18 na wakaja 9 pamoja na babu wakaunda ndege 99 plus babu,napokea challenge.

Kokotoa kwa heshima ya X
 
Back
Top Bottom