Duuu,mwanangu hiyo ya tatu imeniona!hebu nikumbushe!1. Ndege kutoka Kenya kuja Tanzania inaanguka mpakani mwa Tz na Kenya.Je majeruhi watazikiwa wapi?.................................2. Train la TGV yaani la umeme linatoka Berlin kwenda Bonn. Upepo mkali sana unapiga kutoka upande wa Bonn kwenda Berlin. Sasa swali hapa linakuja ni hili, je moshi wa train utaelekea upande upi?3. Kwa kawaida upepo hunavuma kutoka upande wa Dar kuelekea Mwanza. Katika utafiti wangu, nimegundua kuwa ndege ikitoka Dar kwenda Mwanza inachukua saa moja na nusu na ikitoka Mwanza kuja Dar inachukua dakika 90 tu, kwa nini?..........
Ahahahaaah!!Duuu,mwanangu hiyo ya tatu imeniona!hebu nikumbushe!
Duuu,mwanangu hiyo ya tatu imeniona!hebu nikumbushe!
dah! Cjui nina ufikiri mdogo?Saa moja na nusu ni dalila ngapi vile?
zuzumagic kweli wewe. Hujui tofauti kati ya saa moja na nusu na dakika 90?Duuu,mwanangu hiyo ya tatu imeniona!hebu nikumbushe!
Mkuu kumbukumbu unayo duh!1. Ndege kutoka Kenya kuja Tanzania inaanguka mpakani mwa Tz na Kenya.Je majeruhi watazikiwa wapi?.................................2. Train la TGV yaani la umeme linatoka Berlin kwenda Bonn. Upepo mkali sana unapiga kutoka upande wa Bonn kwenda Berlin. Sasa swali hapa linakuja ni hili, je moshi wa train utaelekea upande upi?3. Kwa kawaida upepo unavuma kutoka upande wa Dar kuelekea Mwanza. Katika utafiti wangu, nimegundua kuwa ndege ikitoka Dar kwenda Mwanza inachukua saa moja na nusu na ikitoka Mwanza kuja Dar inachukua dakika 90 tu, kwa nini?..........
Hapo si ndio tunamwaga maji kwenye shimo bhanaaa!Mpira wa mguu katika mechi ulitumbukia nda ya shimo lilitosha mpira pekee kuingia...na refa(refree) alibakiza dakika 3 amaliza mechi...watafanyaje ili kuwahi muda?
utatoa machungwa manne na kuwapa watoto wanne. Alafu utawaambia wale wanne kila mmoja amkatie robo yule aliyekosa. Kwa kuwa robo ziko nne, na yule wa tano atapata chungwa zima. Lile chungwa moja litakuwa limebaki kapunihapo vp?Au hii,una machungwa matano kapuni.kuna watoto watano wamekuzunguka na inabidi kila mmoja apate chungwa moja.Utawezaje kuwapatia kila mmoja chungwa moja na chungwa moja libaki kapuni?
k kila mtoto apate chungwa moja ale peke yake!utatoa machungwa manne na kuwapa watoto wanne. Alafu utawaambia wale wanne kila mmoja amkatie robo yule aliyekosa. Kwa kuwa robo ziko nne, na yule wa tano atapata chungwa zima. Lile chungwa moja litakuwa limebaki kapunihapo vp?
kuku wawiliKuku yupo nyuma ya kuku,na kuku yupo mbele ya kuku, kuna kuku wangapi?
macho matano hapoKuna kuku wa5 wanakula pumba,kisha ikapita ndege juu.je,macho mangapi ya kuku yataangalia juu?
Hawawezi kubaki hata ndege mmoja mtini kwa sababu wote 97 waliobakia wataruka.Wanajf tujikumbushe zile chemsha bongo za primary mfano; 1. Kati ya kilo 1 ya mawe na kilo 1 ya manyoya ya kuku ipi nzito?=mawe 2.mtini kulikuwa na ndege 100 Juma alirusha jiwe na kuua ndege 3 je,mtini walibaki ndege wangapi?=97.Tililika nayo..