Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Nguo inauzwa sh. 10,000.00 wewe huna pesa ukaamua kukopa kwa dada sh. 5,000.00 na kwa kaka sh. 5,000.00 ukapata sh. 10,000.00. Ukanunua ile nguo kwa sh. 9,700.00 na ukarudishiwa sh. 300.00, Ukaamua kupunguza deni, ukatoa sh. 100.00 kwa dada na sh. 100.00 kwa kaka. ukabaki na sh. 100.00. Hivyo ukawa na deni la sh. 4,900.00 kwa dada na sh. 4,900.00 kwa kaka, jumla sh 9,800.00, ukiongeza na ile sh. 100.00 yako, inakuwa sh. 9,900.00. Je sh. 100.00 imekwenda wapi?
Nawasilisha.
Nawasilisha.