Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Wadau, finally wababe wanaopishana kila wakati katika kilele cha PREMIER league wanakutaka wik end hii . Je! Nani atacheka n nani kununa unahisi?
Naomba maoni yenu
NB
Remember, yeyote atakayeshinda hapo atarudi kileleni n kama ni draw then Chelsea wataendelea kukalia uongozi.